Kwa marefa hawa waliobaki, Hakuna sababu ya kuwafungia kina Arajiga.

Kwa marefa hawa waliobaki, Hakuna sababu ya kuwafungia kina Arajiga.

Bila bila

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2016
Posts
22,168
Reaction score
39,118
Kiwango kinachoonyeshwa na Waamuzi baada ya wenzao kufungiwa kinaonyesha waliofungiwa wameonewa. Mechi Tatu zilizopita zimechezeshwa Kwa butua butua ya Waamuzi na Leo Mdoe kafanya hitimisho la kutoa penati rahisi kuliko urahisi wenyewe. Labda baada ya mwenzake kumpa Mzize Kadi isiyojulikana sababu, Leo kaona alipize Kwa kutoa penati nyanya Kwa Mayele.
 
Kiwango kinachoonyeshwa na Waamuzi baada ya wenzao kufungiwa kinaonyesha waliofungiwa wameonewa. Mechi Tatu zilizopita zimechezeshwa Kwa butua butua ya Waamuzi na Leo Mdoe kafanya hitimisho la kutoa penati rahisi kuliko urahisi wenyewe. Labda baada ya mwenzake kumpa Mzize Kadi isiyojulikana sababu, Leo kaona alipize Kwa kutoa penati nyanya Kwa Mayele.
Acha umbea, huo urefa uliusomea wapi?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Huyu huwa akichezesha mechi za yanga lazima afanye matendo mengi ya kuibeba yanga.Mfano kuua move ya timu pinzani,mchezaji wa yanga akijiangusha tu hata kama kaingia mwenyewe kibabe lazima yanga apewe faida.

Hata hivyo kwa vile wanawakilisha vizuri kimataifa acha tu wabebwe

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Game fixing
Mkuu, usifikirie Hilo kabisa. Marefa wa kitanzania ni majanga matupu wala Hakuna haja ya kuwahonga. Sema labda hufuatilii Mechi za timu ndogo, madudu ni haya haya.
 
Back
Top Bottom