Unaweza kuona swali illogical kama huelewi logic ni nini.Mkuu mbona wewe kwa uelewa wako haukutakiwa kuuliza Swali Illogical Kama Hili?
Mkuu embu nieleze unaielewaje Logic? huenda una maana yako (Mimi naielewa Logic kimahesabu na Kifalsafa)Unaweza kuona swali illogical kama huelewi logic ni nini.
Ndiyo maana huelewi swali, na kwa kufuatia, huelewi jibu wala muunganiko wa swali na jibu.
Hutakiwi kusema ukifuata mlolongo wa kanisa hakuna litakaloharibika wakati kuna watu kibao wanakwenda kanisani na wanaishia kubakwa humo kanisani.
Tena kanisa Katoliki hilo hilo.
Logic hiyohiyoya kimahesabu na kifalsafa inakataza kuahidi kitu usichoweza kutimiza.Mkuu embu nieleze unaielewaje Logic? huenda una maana yako (Mimi naielewa Logic kimahesabu na Kifalsafa)
Ibada za Mazishi mara nyingi si kwa ajili ya Marehemu, Zipo kwa ajili ya kuwakumbusha wakrsitu walio hai umuhimu wa kuishi katika kushikamana na kanisa
Hitaji la watu sio Kutokufa Hili najua waelewa Mkuu Kiranga, hitaji la watu wengi ni Marehemu au ndugu au jamaa zao waliofikwa na Msiba waweze kupata Huduma ya Misa za Mazishi kutoka kwa uongozi wa kanisa! na Kanisa halina ahadi kama hiyo ya kuahidi kutokufa!Logic hiyohiyoya kimahesabu na kifalsafa inakataza kuahidi kitu usichoweza kutimiza.
Kauli yako inalifanya kanisa liahidi kitu lisichoweza kutimiza.
Hiyo ipo, Hata kwenye nia za Misa huwa inawekwa na kusemwa kabla ya ibada kuanzaAksante mkuu ila kule kwetu huwa tunaenda kuandikisha misa za kuwaombea marehemu na pia huwa tunaenda kumchukua Padre aje kutusomea misa ya marehemu ili tumuombee kwa Mungu. Mungu amsamehe makosa yake na ampokee kwenye Raha ya milele.
Umewauliza watu wangapi kati ya mabilioni ya waliokufa kwamba hawakutaka kuishi bila kufa, angalau walivyokufa tu, wakakuambia hawakuwa na hitaji la kutokufa?Hitaji la watu sio Kutokufa Hili najua waelewa Mkuu Kiranga, hitaji la watu wengi ni Marehemu au ndugu au jamaa zao waliofikwa na Msiba waweze kupata Huduma ya Misa za Mazishi kutoka kwa uongozi wa kanisa! na Kanisa halina ahadi kama hiyo ya kuahidi kutokufa!
Kati ya CIC na CCC which one takes the upper hand? Bila kusahau Magisterium katika muktadha huu!
Kwanza kabisa watu wengi wenye akili timamu hufahamu kuwa kifo ni lazima lazima ufe tu kwa maana hiyo hakuna excuse ya kufa, Ninaposepa mahitaji ya watu hayatoharibika usiniMisquote, Namaanisha mahitaji ya watu kadri ya yale ambayo hutolewa na Kanisa!Umewauliza watu wangapi kati ya mabilioni ya waliokufa kwamba hawakutaka kuishi bila kufa, angalau walivyokufa tu, wakakuambia hawakuwa na hitaji la kutokufa?
Na kama unajua kanisa halina ahadi ya kutokufa, utasemaje mahitaji ya watu hayata haribika wakifuata kanisa?
Kwa nini kifokiwe lazima kama kuna Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote?Kwanza kabisa watu wengi wenye akili timamu hufahamu kuwa kifo ni lazima lazima ufe tu kwa maana hiyo hakuna excuse ya kufa, Ninaposepa mahitaji ya watu hayatoharibika usiniMisquote, Namaanisha mahitaji ya watu kadri ya yale ambayo hutolewa na Kanisa!
Hapa Nafikiri umenielewa!
Umeuliza swali Ambalo kwenye Mada yangu Sikulilenga!Kwa nini kifokiwe lazima kama kuna Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote?
Huyo Mungu anapenda sana kutenganisha watu na familia zao?
Anapenda sana kuona watu wanalia kwenye misiba?
Hukulilenga kwa sababu linaumbua mada yako.Umeuliza swali Ambalo kwenye Mada yangu Sikulilenga!
Hujajibu swali langu, Mungu alishindwakuumba ulimwengu ambao kifohakiwezekani kabisa?Lengo la Mungu halikuwa Mtu Kufa at first, ila baada ya wazazi wetu wa kwanza kutenda dhambi Mungu akawapa adhabu ya kifo wao Pamoja na uzao wao wote..
Nimekuuliza swali moja, ulilojibu wewe jingine.Mkuu usikaze kichwa hilo swali nimekwisha kulijibu soma vizuri
Ndiyo
Mtumishi wa Mungu Dada na Mama yetu Sr. Suzan Barthlomeo amefariki dunia kwa tukio linaloaminika kujirusha toka Ghorofani baada ya Misa za Asubuhi!
Kikatoliki si Halali kwa Marehemu kufanyiwa ibada za Mazishi endapo Kifo chake kimetokana na Kujiua (suicide)!
ila Kwa Marekebisho haya ya Sheria za Kanisa (Canon Laws) Tusishangae kuona Sr. Akizikwa kwa taratibu na ibada zote zinazostahili (na iwe hivi)!
Canon inasemaje? Tureje Kidogo Kuhusu Sheria za Kanisa Kuhusu Misiba! (Hapa nitazungumzia Case ya Mtawa Huyu Ambayo itamtetea)
Can. 1184
. Isipokuwa walitoa ishara za toba kabla ya kifo, Case zifuatazo lazima zizuiwe katika mazishi ya kidini:
1 / sifa mbaya, wasioamini
2 / wale waliochagua kuungua kwa miili yao kwa sababu za kinyume na imani ya Kikristu;
3 / wengine wenye dhambi dhahiri ambao hawawezi kupewa mazishi ya kanisa bila ya kashfa ya watu waaminifu.
§2. Ikiwa shaka yoyote hutokea (labda kuhusu kifo kilivyotokea au hali ya marehemu kabla ya kufa) Mashauriano yafanyike kama marehemu atapatiwa ibada ya mazishi au la!
Hayo Maandishi ya Blue, Case ya Mtawa huyu itaangukia Hapa (Mark my words) na atazikwa kwa taratibu zote zinazofaa na heshima Kubwa tu!
Pumzika kwa Amani sr. Suzan Bathlomeo!
ALFRED
Mkuu wewe sio mtaalamu wa kusoma na kuelewa vifungu, Mungu aliwaumba watu wasife Milele na Milele (ndivyo dhamiri yake ilivyokuwa) hawa watu wakatenda dhambi ( na kwa kuwa Mungu ana uwezo wa kutengua Jambo lake alilolifanya akatengua na akawapa adhabu ya kifo)Mimi nimekuuliza, kwa nini Mungu hakuumba ulimwengu ambao kifo hakiwezekani kabisa, hata kitokee chochote kile?
Kama Mungu aliwaumba watu wasife milele na milele, na hiyo ndiyo ilikuwa dhamiri yake.Mkuu wewe sio mtaalamu wa kusoma na kuelewa vifungu, Mungu aliwaumba watu wasife Milele na Milele (ndivyo dhamiri yake ilivyokuwa) hawa watu wakatenda dhambi ( na kwa kuwa Mungu ana uwezo wa kutengua Jambo lake alilolifanya akatengua na akawapa adhabu ya kifo)