Kwa mashemeji zangu wasandawe!

Jackbauer

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2010
Posts
6,053
Reaction score
2,207
Nimetokea kuwa na uhusiano na mabinti wa kisandawe,kwa sura, shepu na tabia ni wazuri.Tatizo ni kuwa mabinti hawa wamekeketwa.
Naomba niwaulize mashemeji zangu kwanini mnaondoa kiungo hiki muhimu?
 
Nimetokea kuwa na uhusiano na mabinti wa kisandawe,kwa sura, shepu na tabia ni wazuri.Tatizo ni kuwa mabinti hawa wamekeketwa.
Naomba niwaulize mashemeji zangu kwanini mnaondoa kiungo hiki muhimu?

Kama kweli wewe shemeji yetu AKIANA?
Kwa kweli umedanganywa, sisi wasandawe siyo wa hivyo. Atupo nyuma kama wengi wetu. Hamna vifo vya kina mama wakati wakijifungua. Dada, mama zetu wanaenjoy penzi pindi waki dooo. Hao watakuwa majirani zetu. Jooleei
 
Nimetokea kuwa na uhusiano na mabinti wa kisandawe,kwa sura, shepu na tabia ni wazuri.Tatizo ni kuwa mabinti hawa wamekeketwa.
Naomba niwaulize mashemeji zangu kwanini mnaondoa kiungo hiki muhimu?

Mimi nimefanya kazi Kondoa Kusini, siyo kweli.
 
Kama kweli wewe shemeji yetu AKIANA?
Kwa kweli umedanganywa, sisi wasandawe siyo wa hivyo. Atupo nyuma kama wengi wetu. Hamna vifo vya kina mama wakati wakijifungua. Dada, mama zetu wanaenjoy penzi pindi waki dooo. Hao watakuwa majirani zetu. Jooleei

anga na wade.

Hivi kwenye lugha ya Kisandawe kuna 'ki'?
 
Mimi Msandawe haswa, najivunia kuwa msandawe. Wasandawe ni watu wazuri, wema, wenye kujali

onyesha hivyo kwa vitendo,nenda kawape somo wazee wa kisandawe kuwa mila hii potofu imepitwa na wakati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…