kwa masingle men na masingle ladies soma hii

kwa masingle men na masingle ladies soma hii

XOXOQY

Senior Member
Joined
Feb 7, 2011
Posts
193
Reaction score
54
HABARI ZENU WANA JF.POLENI NA MAJUKUMU YA HAPA NA PALE,KWA HESHIMA NA TAADHIMA KWA WALE MASINGLE MEN AND MASINGLE LADIES WHO ARE AVAILABLE AND THEY ARE SEARCHING THE REALY PARTNERS JUST CLICK THIS LINK AND COMMENT PLEASE mchumba18.blogspot.com
 
Mbona haileweki sasa mpaka utume detail zako kwenye email ndo uunganishwe, huo sio mpango kitu uingie mwenyewe ukikuta mchumba manaanza kuchat. Huo utaratibu wa kutuma information sio manake mtu anaangalia usalama wa detail zake. Af blog yenyewe ilivyo haina mpangili mzuri, ningewashauri mfungue web na iwe katika utaratibu ambao mtu anajitafutia mtoto sio mpaka awatumie mail. Huo mpango naona utakuwa mgumu.
 
ur criticism are much worth to us,keep on commenting we still need ur thoughts
 
Hii si user freindly, inatakiwa uweke picha za watu ili mtu akiingia achague mwenyewe na wafanye wao mawasiliano isije ikawa njia ya kulinki watu wa jf na details zao, naogopa inaweza ikawa njama za ccm hizi
 
Mbona haileweki sasa mpaka utume detail zako kwenye email ndo uunganishwe, huo sio mpango kitu uingie mwenyewe ukikuta mchumba manaanza kuchat. Huo utaratibu wa kutuma information sio manake mtu anaangalia usalama wa detail zake. Af blog yenyewe ilivyo haina mpangili mzuri, ningewashauri mfungue web na iwe katika utaratibu ambao mtu anajitafutia mtoto sio mpaka awatumie mail. Huo mpango naona utakuwa mgumu.

we guarantee privacy to ur informations,THERE ARE SO MANY WEBSITE OF UR WISHING STYLE bt the question it is DO THEY GIVE WHAT U NEED,THAT IS SIMPLE JUST GO TO A NEW TOPIC here at jf and write 'I NEED A GIRLFRIEND'then put ur contacts there and wait 4 the out come!We have made some research and we have identified this will somehow help to give someone a serious partner,YES IT IS SO COMPLICATED PROCESS,the reason behind is that WE WANT TO FILTER WHO IS IN NEED AND WHO IS IN JOKE!sor anyway!
 
Hii si user freindly, inatakiwa uweke picha za watu ili mtu akiingia achague mwenyewe na wafanye wao mawasiliano isije ikawa njia ya kulinki watu wa jf na details zao, naogopa inaweza ikawa njama za ccm hizi

U GOT IT WRONG!USER PICTURES AND ALL OF UR INFORMATION(DETAILS)WILL BE PUBLISHED BUT ONLY UR CONTACTS WILL BE HIDEN FROM THE PUBLIC,JUST 4 UR PRIVACY SAKE!any way if u wish us to publish ur contacts to the public we can,JUST ASK 4 THAT!
 
okey..!bt why?tell us where to fix!

"wakikudanganya hata kwa mbegu za mtama waambie sidanganyikiiiiii"

mkuu sikiliza....permutation and combination+logics=zimelala vichwani mwa wana-jf, hence; hatukubaliani na wewe.
 
Itabidi nitoe taarifa ZOTE za uongo au za bandia kwenu, nifungue email mpya majina ya uongo kasoro simu sitoi. Then mkishaniunganisha na huyo mtu, kama ni kweli hapo ndo natoa taarifa zangu za ukweli. :typing:
 
Itabidi nitoe taarifa ZOTE za uongo au za bandia kwenu, nifungue email mpya majina ya uongo kasoro simu sitoi. Then mkishaniunganisha na huyo mtu, kama ni kweli hapo ndo natoa taarifa zangu za ukweli. :typing:

Nathani hata mbuni ni mjanja zaidi yako;
huyohuyo utakayemdanganya ndiye kachero mwenyewe.
nahisi yeyote utakayeunganishwa naye atakuwa "a contracted killer." dont try this
 
Mh kwa kweli haijanivutia kivile....it looks dark and gloomy.anyway ngoja tusubirie feedback za watakaoitumia hiyo site
 
Itabidi nitoe taarifa ZOTE za uongo au za bandia kwenu, nifungue email mpya majina ya uongo kasoro simu sitoi. Then mkishaniunganisha na huyo mtu, kama ni kweli hapo ndo natoa taarifa zangu za ukweli. :typing:

AS LONGER WE HAVE NO BAD INTENTION WITH ANY BODY Just do as u wish,welcome!
 
KWELI NIMEAMINI MWIZI HAJIAMINI!HATA AKIMUONA RAIA KAVAA NGUO YA UDONGO ANATIMUA MBIO AKIDHANI POLISI.guyz there anythng bad ur doing?Then y r u suspesious?PLEASE GUYZ JUST TRUST THIS BLOG IT HAS NOTHING TO DO WITH SPYING,JUST BE FREE TO JOIN!
 
AS LONGER WE HAVE NO BAD INTENTION WITH ANY BODY Just do as u wish,welcome!

Hiki kizungu tu kinatia wasiwasi; watu wa JF sio standard yako nenda kwenye mablog uchwara ukahemee huko!!
 
Back
Top Bottom