Kwa maslahi mapana ya soka, TFF mfungieni Haji Manara

Kwa maslahi mapana ya soka, TFF mfungieni Haji Manara

luangalila

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2014
Posts
6,346
Reaction score
6,928
Kufuatia mfululizo wa matukio yake ya kupishana maneno na watu wanahabari, wadau wa soka mbalimbali, sasa ni vyema TFF ikampeleka jela ya kabumbu Bw.Haji,

Na hata CAF nao wanapaswa wawazuie mashabiki wa Yanga kuungia kiwanjani ktk mechi za hatua ya awali ya michuano ya klabu bingwa Afrika hii ni muhimu sana maana hawa wanaojiita wananchi eti hawataki mtu yeyote avae nguo yenye rangi nyekundu basi wapigwe Ban ili washike adabu.

Wapuuzi sanaa hawa mashabiki walio mpiga mwenzao hadi kudaiwa kupatwa na umauti
 
Haji ata uki msimamisha bado atafanyakazi kama mwandishi wa habari. Ni kama Shafii Dauda anaendelea na kazi zake licha ya kufungiwa.
 
Haji ata uki msimamisha bado atafanyakazi kama mwandishi wa habari. Ni kama Shafii Dauda anaendelea na kazi zake licha ya kufungiwa.
Uko kwenye tasnia ya habari akizingua pia watampiga pini keshawatukana na kuwafokea sana akiwa Simba.
 
Kufuatia mfululizo wa matukio yake ya kupishana maneno na watu wanahabari, wadau wa soka mbalimbali, sasa ni vyema TFF ikampeleka jela ya kabumbu Bw.Haji,

Na hata CAF nao wanapaswa wawazuie mashabiki wa Yanga kuungia kiwanjani ktk mechi za hatua ya awali ya michuano ya klabu bingwa Afrika hii ni muhimu sana maana hawa wanaojiita wananchi eti hawataki mtu yeyote avae nguo yenye rangi nyekundu basi wapigwe Ban ili washike adabu.

Wapuuzi sanaa hawa mashabiki walio mpiga mwenzao hadi kudaiwa kupatwa na umauti
Punguza mihemko wewe na hayo mawazo yako ya kichawi. Niambie hapa, wewe kama wewe utapata faida gani iwapo hayo mahitaji yako ya kichawi yatatekelezwa?
 
Kufuatia mfululizo wa matukio yake ya kupishana maneno na watu wanahabari, wadau wa soka mbalimbali, sasa ni vyema TFF ikampeleka jela ya kabumbu Bw.Haji,

Na hata CAF nao wanapaswa wawazuie mashabiki wa Yanga kuungia kiwanjani ktk mechi za hatua ya awali ya michuano ya klabu bingwa Afrika hii ni muhimu sana maana hawa wanaojiita wananchi eti hawataki mtu yeyote avae nguo yenye rangi nyekundu basi wapigwe Ban ili washike adabu.

Wapuuzi sanaa hawa mashabiki walio mpiga mwenzao hadi kudaiwa kupatwa na umauti
Mwenyezi Mungu alituagiza kuwashushia kipigo cha mbwa mwizi walozi au wachawi na ikibidi tuwa uwe kabisa, poleni sana ndugu wa yule dogo, janahanam bado inamsubiri!
 
Utopolo hawana akili, wamemuua mtu arusha kwasababu anaishabikia coastal. Ngoja wakamatwe wakanyongwe hao mautopox
 
Tff wanamkataba na yanga wa miaka 5 kwaiyo swala lakufungiwa halita kuwepo sana atapigwa faini million 1 au laki 5 tizama alicho kifanya mwakalebela adhabu yake iliishaaa.??? Si alifunguliwa[emoji16][emoji16]
 
Hapa sasa ndo naanza kuona ubovu wa akili yako. Hiyo adhabu ni kwa mujibu wa kifungu gani? Haji ana matatizo yake lakini comments za chuki hazifai.
Kwan mtu akiadhibiwa ww huwa una kerekwa ? Wakosaji siku zote lazima waadhibiwe tu
 
Kufuatia mfululizo wa matukio yake ya kupishana maneno na watu wanahabari, wadau wa soka mbalimbali, sasa ni vyema TFF ikampeleka jela ya kabumbu Bw.Haji,

Na hata CAF nao wanapaswa wawazuie mashabiki wa Yanga kuungia kiwanjani ktk mechi za hatua ya awali ya michuano ya klabu bingwa Afrika hii ni muhimu sana maana hawa wanaojiita wananchi eti hawataki mtu yeyote avae nguo yenye rangi nyekundu basi wapigwe Ban ili washike adabu.

Wapuuzi sanaa hawa mashabiki walio mpiga mwenzao hadi kudaiwa kupatwa na umauti
Ndio maana lile kombe lilipofika dar likapachuka mishikio[emoji23]
 
Back
Top Bottom