Shazili mnali
JF-Expert Member
- Mar 25, 2023
- 362
- 569
Poa mkuuAsante kwa taarifa,ila jifunze kutofautisha matumizi ya r na l
Unauzwa na kununuliwa kwa kgmMkuu ufuta huwa mnauza kwa kila kilogam moja, gunia au mnapimaje ?
Ambapo wakulima mnauza Tzs ngapi kwa kilo?Unauzwa na kununuliwa kwa kgm
Mtaji kiasi gani unatosha kuifanya hiyo biashara?Tunaenda kufata soya Zambia msimu ushafika wa kuchezesha Dollar na Kwacha vs Shillings
Nanunua kwa mfumo wa chomachoma au mfumo wa kuingia kwenye mnada?Unauzwa na kununuliwa kwa kgm
Mfumo wa chomachomaNanunua kwa mfumo wa chomachoma au mfumo wa kuingia kwenye mnada?
Mtaji kiasi gani unatosha kuifanya hiyo biashara?
Semi nzimaMillion 70
kumbe pesa ndefu hivoMillion 70
Parefu kweliMillion 70
Chomachoma mimi chaka langu ni kijiji cha nangulugaiMfumo wa chomachoma
Fungua dm mkuuChomachoma mimi chaka langu ni kijiji cha nangulugai