Battery kuisha yaashiria short au matumizi ya moto gari likiwa limezima. Lazima iangaliwe ni kitu kipi kinakula moto gari likiwa off.Hbr mkuu Styvo254 ?
Gari yangu ni raum old model! Hivi punde imeanza shida zifuatazo! Mosi, ukiizima mpaka uje uibust kesho yake ! Nimebadilisha betri lakini tatizo bado lipo pale pale!
Pili, imemaliza hydrolic, naomba ushauri nitumie hydrolic gani mkuu?
Tatu, taa ya mafuta imezimika ghafla nimepeleka kwa mafundi lakini wameshindwa kuirejesha!
Naomba ushauri mkuu!
Asante
Kuinyanyua gari sio jambo rahisi hivyo sababu ya usalama/ustadi barabarani. Ni vyema kushughulikia springs sababu hizo ndio hua zimeisha.Mi naulizia tairi za za size gani zafaa kunyanyulia Toyota Raum new model ya 2005. Na nawezapata kwa shilingi ngapi.
Yadai diagnosis kaka ili kubaini tatizo. Haitakufaidi na itakuogofya bure kukisia tatizo kabla diagnosis. Kulingana na maelezo yako nashuku upande wa mafuta na emissions - sio jambo la kutishia.Gari yangu gx 115 ikitembea umbali wa kilomita kama 20 ivi inawasha chek engine notification
mkuuu nina gari yangu mistubish rosa 4d 33 .ni daladala tatizo lake.asubuhi ukiiwasha inakubali kabisa na unapiga kazi vizuri tu lakini baada ya ruti moja au mbili gari ikipumzika standi kusubiri abiria.Mkuu heshima kwako...nina swali ambalo huenda litatoa majibu kwa wengi..
Kuna athari yoyote ya kiufundi kwenye gari endapo nitaamua kuondoa catalytic converter endapo imekuwa clogged?
Je, athari za kuiondoa kabisa ni zipi kwa sababu kifanya replacement nadhani itakuwa ni gharama kubwa.
Kw gari ya petroli haina madhara mengi kw gari ila mwongezeko wa moshi kw mazingira. Magari ya diesel yenye mfumo wa DPF ndio yana issue kidodo sababu mfumo ni 'closed loop', yaani kuna taarifa zitokako kw ile DPF filter/muffler kurudi kw kompyuta.Mkuu heshima kwako...nina swali ambalo huenda litatoa majibu kwa wengi..
Kuna athari yoyote ya kiufundi kwenye gari endapo nitaamua kuondoa catalytic converter endapo imekuwa clogged?
Je, athari za kuiondoa kabisa ni zipi kwa sababu kifanya replacement nadhani itakuwa ni gharama kubwa.
mkuuu nina gari yangu mistubish rosa 4d 33 .ni daladala
tatizo lake.asubuhi ukiiwasha inakubali kabisa na unapiga kazi vizuri tu lakini baada ya ruti moja au mbili gari ikipumzika standi kusubiri abiria .wakati ushapakia abiria ukiiwasha huwa haikubali kuwaka mpaka isukumwe.au ukijaribu kuiwasha na kupandisha mafuta mara moja moja huwa inakubali..nimewajaribu mafundi kila mmoja anasema lake sasa mkuu naomba msaada wako.
Nina toyota Cami nataka kuifumua system yote ya umeme na kuiweka sawa/upya.. inaweza kugharimu kiasi gani, ufundi na vifaa?Hili litakua tatizo upande wa umeme hasa kw mfumo wa engine idle stabilization. Itakua vyema ukifanya tune-up ya uhakika na pia diagnosis ya engine, gearbox na mfumo wa umeme in general.
Daa pole...mimi siyo fundi ila hapo nakushauri anza na zoezi rahisi la kuangalia engine mounts na gear box mounts.....hizi bush zikichoka huchangia hilo tatizo..Styvo254 Gari yangu RAV4 - kill time nikisimama hasa kwenye folen inatetemeka bodi lote nikitembea inatulia, nikiwasha AC inatetemeka zaidi, nikiweka parking inapunguza mtetemo. shida inaweza kuwa nini? naweza pata mtaaalamu? maana nishaonana na mafundi wengi lakini haiponi.
Asante mkuu. Hizo zote nishafanya na nikafunga mpya (original) zote.Daa pole...mimi siyo fundi ila hapo nakushauri anza na zoezi rahisi la kuangalia engine mounts na gear box mounts.....hizi bush zikichoka huchangia hilo tatizo..
Kama ziko poa waone wataamu zaidi wa vipimo.
mkuu unaposema mpya ni za dukani au used? nami zilikata mbili nikanunua mpya dukani kufunga gari ilikuwa inatetema na body nikatoa nikatafuta used za Japan ikatulia.Asante mkuu. Hizo zote nishafanya na nikafunga mpya (original) zote.
Hata mimi nilitaka kumsisitiza acheze na hizi bush kwanza...mkuu unaposema mpya ni za dukani au used? nami zilikata mbili nikanunua mpya dukani kufunga gari ilikuwa inatetema na body nikatoa nikatafuta used za Japan ikatulia.
Mkuu ni USED (Ndio maana nikatumia neon original).mkuu unaposema mpya ni za dukani au used? nami zilikata mbili nikanunua mpya dukani kufunga gari ilikuwa inatetema na body nikatoa nikatafuta used za Japan ikatulia.
Sehemu zipi nzuri na zenye uhakika wa kufanya engine diagnosis, maana mjini hapa kuna kuingizwa mkenge sana.Aliosema mkuu hapo ni kweli, diagnosis ndio la kwanza katika urekebishaji na utunzaji was gari kw kua hii ndio njia ya kuwasiliana na mifumo.
Tatizo na vifaa vinavyotumika kw kawaida havina uwezo wa kuwasiliana kamili. Tafuta fundi mwenye mfumo wa Techstream!
Za leo kaka,Mkuu mtoa uzi mbona kimya??? Pole kwa kazi na asante kwa kujitoa kushauri watu kuhusu magari hapa. nakuomba uangalie hitaji langu kwenye post #238 na 239. Mimi niko Dar. Ukinielekeza sehemu iliyopo Dar kwa swali langu kwenye post #239 itakuwa vizuri, na nasubiri maelezo yako kuhusu post #238.