Tariq gabana
Member
- Jan 25, 2024
- 6
- 7
Kwa kuwa ana "A" Geography hapo, akasome HGL.Jamani Kuna mwanangu ana 4 ya 27, akasome kozi gani ambayo mbele zipo Ajira na kitu ambacho kazi rahisi kupata ata kujiajiri?
Matokeo yake yako hivi:
Eti, akasomee nini apate ajira?
- Math: F
- History: D
- Civics: D
- Kiswahili: C
- English: C
- Bio: D
- Geography
Geography DJamani Kuna mwanangu ana 4 ya 27, akasome kozi gani ambayo mbele zipo Ajira na kitu ambacho kazi rahisi kupata ata kujiajiri?
Matokeo yake yako hivi:
Eti, akasomee nini apate ajira?
- Math: F
- History: D
- Civics: D
- Kiswahili: C
- English: C
- Bio: D
- Geography
Kozi gnVeta
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ajira na 4 wapi nawapi mnunulie pikipiki
Mwanao ni kichwa cha panzi!Jamani Kuna mwanangu ana 4 ya 27, akasome kozi gani ambayo mbele zipo Ajira na kitu ambacho kazi rahisi kupata ata kujiajiri?
Matokeo yake yako hivi:
Eti, akasomee nini apate ajira?
- Math: F
- History: D
- Civics: D
- Kiswahili: C
- English: C
- Bio: D
- Geography