Kwa matokeo haya akasome kozi gani?

Kwa matokeo haya akasome kozi gani?

tuwe wakweli

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2014
Posts
223
Reaction score
59
Kuna ndugu yangu alihitimu elimu ya sekondari mwaka 2008 na akapata division 4 ya point 26 ambapo alibahatika kupata credit 4,akafanya mtihani wa form six mwaka 2012 kwa bahati mbaya akapata division 4 ya point 19 akiwa na principle pass 1 tu na the rest ni F.Je,anaweza kujiunga na chuo cha taalama gani kwa level ipi ambayo ina soko ?
 
Back
Top Bottom