Ferdinand Junior
Member
- Jan 27, 2021
- 31
- 21
Akasomee ualimu wa chekechea ili akimaliza asidolole nyumbaniNina mdogo wangu yupo zanzibar amepata matokeo ya Form four :
HISTORY D
Geography D
KISWAHILI C
Anaweza akapata chuo zanzibar?
Chuo gani?
Course gani anaweza kusoma?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahAlichukuwa anasoma Arts so mengne yote F
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Akasomee ualimu wa chekechea ili akimaliza asidolole nyumbani