Northern Lights
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 395
- 357
Nina mdogo wangu amepata matokeo haya
CIV-C, HIST-C, ENG-C, KISW-B, GEO-E, BIOS-E, B/MATH-F= DIV4/34
je anaweza kupata shule ya private kwa mchepuo wa HKL au HGK , AU nitamtafutie nafasi ya ualimu na police kwa haya matokeo. Naombeni wenye uelewa mnifahamishe maana sijui cutting point ni ngapi
CIV-C, HIST-C, ENG-C, KISW-B, GEO-E, BIOS-E, B/MATH-F= DIV4/34
je anaweza kupata shule ya private kwa mchepuo wa HKL au HGK , AU nitamtafutie nafasi ya ualimu na police kwa haya matokeo. Naombeni wenye uelewa mnifahamishe maana sijui cutting point ni ngapi