Northern Lights
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 395
- 357
Ualimu cheti wamebadili vigezo anaweza apate nimeona tangazo NACTE wanasema ''Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi itadahili wanafunzi wenye ufaulu wa Daraja la Kwanza hadi la Tatu kwa ajili ya Cheti na wenye ufaulu wa alama 26 au 27 (mwaka 2004 hadi 2012) na alama 32 hadi34 (mwaka 2013) " kama amemaliza miaka ya karibuni anaweza akakubaliwa.