Yohana Kilimba
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 8,105
- 5,629
Aende course yoyote ya afya akasome certificate atapokelewa vizuri tu. Jamani acheni mizaha mwenzenu anapoomba msaada, ameamini apa kuna great thinker, sasa wewe unaposema awe house girl sio vizuri wakuu, mtu akileta mada apa ina maana amekuamini
Anaweza kusoma certificate ya kilimo au afya, ingawa ushindani ni mkubwa. Mshauri asome certificate ya ufugaji wa kuku Ope:tonguez:n University of Tanzania, itamsaidia kujiajiri.
Mwambie aende nursing huyo
asante kaka,ada yake inaweza kuwa sh ngapi?
ada sh ngapi?
unesi ada sh ngapi?
Mdogo wangu alipata matokeo haya hapa chini mwaka 2012:
LULUMBA SS-SINGIDA-Ana four ya 27(IV 27)
Physics=D
Chemistry=D
Biology=C
Ukiacha VETA,Anaweza chuo chochote kingine?
Geography=D
Plz