kuhusu mkopo umeshajipanga lakini?maana kwa huo mwaka uliomaliza kupata mkopo itakua ngumu labda ukisoma education ndio bodi wanatoa na kwa ushauri wangu weka must mbeya,jaribu huko NIT pia utapata,kama unapenda course za udom pia kule huwez kosa course kama geoinformatics..