kwa matokeo haya udaktari atchaguliwa?

kwa matokeo haya udaktari atchaguliwa?

ze jj

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2012
Posts
497
Reaction score
592
physc-s biology-D chemistry-c Gs-f bam-f ni vyuo vipi vinamfaa?
 
Points zake zinakubalika kimataifa kwa kujiunga na chuo cha udaktari (hasa kwa kufaulu vizuri chemistry, ndio hasa muhimu zaidi). Tatizo hua linakuja kwenye competition tu kwa hapa tz; (intake capacity ni ndogo). Hata hivyo; kwa alama hizo watu wanasoma/wamesoma MD (japo itategemea na ufaulu wa mwaka husika). Kwasasa vyuo ni vingi na ushindani umepungua kidogo; apply Ifakara, Bugando, KCMC, UDOM hata MUHAS n.k. (Japo sijui siku hizi wana apply vipi)
Siku zote asikatishwe tamaa ya kufikia ndoto zake kirahisi; ilhali vigezo anavyo!

tragedy of the commons
 
Back
Top Bottom