Kwa matokeo haya ya kidato cha nne naweza kuwa mwanasheria?

UZZIMMA

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2014
Posts
414
Reaction score
481
Ndugu wana JF, kwa matokeo ya CSEE 2012 mimi nina C, D, D, D, F, F, F.
Malengo yangu nije kuwa mwanasheria nguli. Nijulisheni chuo kizuri cha sheria kinachoweza kuchukua alama hizi na ada zake. Nitashukuru mkinijulisha jambo hilo.
 
Tuko busy na escrow na labda tu kwa taarifa ni kwamba kwa matokeo hayo hutapata chuo chochote duniani na ukipata uta disco kwa malimbikizo ya supplimentary
 
Ndugu wana JF, kwa matokeo ya CSEE 2012 mimi nina C, D, D, D, F, F, F.
Malengo yangu nije kuwa mwanasheria nguli. Nijulisheni chuo kizuri cha sheria kinachoweza kuchukua alama hizi na ada zake. Nitashukuru mkinijulisha jambo hilo.


Division IV tena point 30 unatafta pa kusomea sheria?!!! Kama taaluma zingine like ualimu tu sasa hivi wanachukua Division I mpaka III wewe utapata chuo gani hicho cha sheria?
 
anza na certificate, then diploma na baadae degree
tafuta chuo chochote kinachotoa cheti cha sheria na uanze safar ya kutimiza ndoto yako
 
Kah! Elim imekuwa rahisi sana siku hizi, just 2000 tu hapo nilikuwa nahangaika kumtafutia dogo chuo akiwa na Div 2 ya point 11
Kweli atakayeshindwa kusoma ss hali yake mbaya
 
tutaheshimiana tu!eti unadharau ualimu.lazi utakua chizi ww sio bure.hata mwanao akisoma ulaya bado atafundishwa na walimu tu.
 
Tuko busy na escrow na labda tu kwa taarifa ni kwamba kwa matokeo hayo hutapata chuo chochote duniani na ukipata uta disco kwa malimbikizo ya supplimentary

hahahhahaaaa mbavu zangu jamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…