Kwa matokeo yangu haya naweza kupata nafasi DAR INSITUTE OF TECHNOLOGY (DIT).. Msaada


phy itakukwamisha, labda tafuta chuo private lakini na hapo dit jaribisha
 
pole sana hiyo f---ya physics......ila kwa matokeo yako unaweza kusoma it...peke yake ila kwa kozi hizi nyingine watakuzingua na f....ya phyisics au kama unaona vipi nenda udsm....center of virtual learning piga certificate in computer science wanakuchukua
 
Jaribu na st joseph college of engineering.
 

hiyo IT ni kwa mda gan?
 
Usimkatishe tamaa ki hivyo! Kupata div 4 haimaanishi alikuwa hafanyi vizuri kwenye masomo yake kuanzia form1. Inawezekana siku ya paper maswali yalimpiga chenga, kitu ambacho ni kawaida. Wajasiriamali unaowazarau ndiyo wenye mafanikio makubwa kuliko tunaojifanya tuna akili sana wakati hatujavumbua hata kitu kimoja katika maisha yetu!
 
@ Sometimes Ahsante kuniunga mkono kama nilivyomshauri maana yeye ana anataka angalau professional ya kuanzia ili assije akaitwa mwizi mtaani,nikashauri awe mwalimu by professional alafu kisha awe mjasilia mali asilazimishe kukomaa na mchundo,wapi nimedharau ujasilia mali hali mimi mwenyewe ni mjasilia mali pia labda hujui maana ya ujasilia mali ukizani ni wale machinga peke yake. Ukikaa kusubiri mshahara uingie kwenye account peke yake uzao wako utakuwa masikini.
 
Jaribu vyuo ka muccobs,mzumbe,ifm,iaa,tumain na saut,watakuchukua kwa level ya certificate.
dharau mabaaaya sana na sidhani ka utafika popote kwa namna hii..................SHAME ON U JACKAR.
 
kozi ya it.....ni miaka mitatu unaanza cheti mpaka diploma......vijana wengi tupo nao pale karibu dit.......
 
Weka matokeo yote hadharani na umemaliza mwaka gani,wanaochukuliwa direct entry ni wale matokeo yao yametoka majuzi na wanalipa ada za serikali,Telecom ina ushindani inategemea pia umepata division ngapi, watu wanakimbia Mechanical Engineering michoro imetulia,kama uanjilipia mwenyewe umeshapata.
 

score zimekaribia kabisa za rafiki yangu
 
Sorry ndugu yangu nilitaka kumaanisha Pre entry ndugu yangu

hata pre-entry zimepigwa mafuruku. Mtu akitaka kusoma pre-entry na mature age entry utaandaliwa utaratibu itakuwa ni course za mwaka mmoja zitakuwa kikanda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…