Umeandika utumbwo.
Najuwa wapo watu watakuja kunishambulia lakini Mimi kama nasimama kwenye ukweli huwa siogopi kushambuliwa hata kwa risasi.
Wote tunajuwa matumizi ya perfyumu na sidhani kama huwa kuna perfume inayotumiwa kama chakula. Sasa namshangaa kijana mwenzetu ambaye baada ya kuja na product inayokwenda kwa jina LA CHIBU nimekuwa nikishuhudia kwenye baadhi ya picha zake akiwa ameiweka mdomoni sasa nashindwa kuelewa kwamba hiyo perfume nayo inaweza kuliwa kama chakula pia?
Kwa wataalam Wa afya wanajua madhara yake hivyo wanaweza wakatoa msaada hapa kwa faida ya wengi.
Karibuni
View attachment 505746 View attachment 505747
Hujajibu hoja.Fanya kwanza alivyofanya, miliki anachomiliki, toa mchango kwa jamii yake iliyomzunguzka kama anavyotoa kabla ya kuanza kumuhukumu. Bomboclat!
Ukitaka kufanya chakula hakuna atakayekuzuia, we kula tu.
Kwa roho safi kabisa Ushauri wako ni makini sana.Akitaka kumake hela aifanye hiyo ndo label kake kwa kila bidhaa inahusiana na bodycare.
- Chibu shaving cream
-Chibu baby diapers
-Chibu detergent
-feminine hygiene products
etc
atapiga hela hadi ataweka pembeni muzic
Huu mchezo wa kujifanya mnajua sana kizungu mtakuja kuandika matusi hivi hivi bila kujifahamu.Akitaka kumake...
Ameibusu ....unaonekana umejawa na wivu unaozaa chuki itakayokuletea majipu mfululizo kwenye makalio.Najuwa wapo watu watakuja kunishambulia lakini Mimi kama nasimama kwenye ukweli huwa siogopi kushambuliwa hata kwa risasi.
Wote tunajuwa matumizi ya perfyumu na sidhani kama huwa kuna perfume inayotumiwa kama chakula. Sasa namshangaa kijana mwenzetu ambaye baada ya kuja na product inayokwenda kwa jina LA CHIBU nimekuwa nikishuhudia kwenye baadhi ya picha zake akiwa ameiweka mdomoni sasa nashindwa kuelewa kwamba hiyo perfume nayo inaweza kuliwa kama chakula pia?
Kwa wataalam Wa afya wanajua madhara yake hivyo wanaweza wakatoa msaada hapa kwa faida ya wengi.
Karibuni
View attachment 505746 View attachment 505747