Kwa matumizi Haya ya perfume huyu jamaa tumuite mjanja au mshamba?

Nibozali

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2016
Posts
572
Reaction score
1,055
Najuwa wapo watu watakuja kunishambulia lakini Mimi kama nasimama kwenye ukweli huwa siogopi kushambuliwa hata kwa risasi.
Wote tunajuwa matumizi ya perfyumu na sidhani kama huwa kuna perfume inayotumiwa kama chakula. Sasa namshangaa kijana mwenzetu ambaye baada ya kuja na product inayokwenda kwa jina LA CHIBU nimekuwa nikishuhudia kwenye baadhi ya picha zake akiwa ameiweka mdomoni sasa nashindwa kuelewa kwamba hiyo perfume nayo inaweza kuliwa kama chakula pia?

Kwa wataalam Wa afya wanajua madhara yake hivyo wanaweza wakatoa msaada hapa kwa faida ya wengi.

Karibuni
 


Fanya kwanza alivyofanya, miliki anachomiliki, toa mchango kwa jamii yake iliyomzunguzka kama anavyotoa kabla ya kuanza kumuhukumu. Bomboclat!
 
Akitaka kumake hela aifanye hiyo ndo label kake kwa kila bidhaa inahusiana na bodycare.
- Chibu shaving cream
-Chibu baby diapers
-Chibu detergent
-feminine hygiene products
etc
atapiga hela hadi ataweka pembeni muzic
 
Akitaka kumake hela aifanye hiyo ndo label kake kwa kila bidhaa inahusiana na bodycare.
- Chibu shaving cream
-Chibu baby diapers
-Chibu detergent
-feminine hygiene products
etc
atapiga hela hadi ataweka pembeni muzic
Kwa roho safi kabisa Ushauri wako ni makini sana.
Hapo kwenye Diapers azingatie viwango.... Huku uswahilini kwetu itakuwa Gombania goli.
 
Unakomaa sana ku-create ID hapa JF kwa thread uchwara kila dakika,tatizo la members wa JF wakikushtukia watakudharau mazima hata siku ukiwa na hoja ya msingi.
 
Hizo picha yeye anajipongeza kwa kazi yake nzuri kwa kuibusu.

Sasa wewe mtoa post tatizo lako huna hela ya kununua achilia mbali kuwa na angalau hata shampoo ya Nazi ambayo ni rahisi kuimiliki

Acha wivu
 
msiojua advertising maana yake nini na aina za adverts. muwe munauliza, hakuna ubaya kwenye tangazo hilo kimantic na kimarketing tangazo limekaa vyema sana...halina kasoro yeyote!
 
Hujui maana ya advertisement? Anaweka mdomoni ili ionekane zaidi
 
Ameibusu ....unaonekana umejawa na wivu unaozaa chuki itakayokuletea majipu mfululizo kwenye makalio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…