Kwa matumizi ya kwaida tu!mke/mume???

KakaKiiza

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,794
Reaction score
9,075
Hivi naomba tuwekeni wazi kwa hili kwa hali yakawaida mke/mume ni yupi kati yake kwakipindi cha ujana wake hadi anapofikia miaka 50 ankuwa ametumika sana je inaweza kufahamika idadi yake??je kuna utafiti uliofanyika kuonyesha nimara ngapi alifanya sex?kwakipindi hicho?
 
Kweli kabisa sijakupata vizuri.... But if you mean what you I am thiking, Kaka Kiiza, know that hivo vitu hua vinakua na maintenance na servicing, thou i don't know for guys... Hivo hapo ni sawa na kuuliza kikombe cha bati kimetumika mara ngapi....
 

Hebu liunde upya swali lako upate kueleweka zaidi.
 
Kweli kabisa sijakupata vizuri.... But if you mean what you I am thiking, Kaka Kiiza, know that hivo vitu hua vinakua na maintenance na servicing, thou i don't know for guys... Hivo hapo ni sawa na kuuliza kikombe cha bati kimetumika mara ngapi....
Ndo ninacho maanisha ila kutakana na tafiti zilizo wahi kufanyika je hakuna majibu?mbona hata mawe yanajulikana umri wake???
 
Kweli kabisa sijakupata vizuri.... But if you mean what you I am thiking, Kaka Kiiza, know that hivo vitu hua vinakua na maintenance na servicing, thou i don't know for guys... Hivo hapo ni sawa na kuuliza kikombe cha bati kimetumika mara ngapi....

maintenance na servicing yake inafanyikaje? Funguka kidogo.
 

Itakuwa vizumu kupata takwimu sahihi kwani kwa wanaume .. wamegundua njia ya ku-fool "kipima matumizi" kwani wanachukua sabuni na kudanganya eti wanasafisha mashine kumbe ndio wanatumia mashine...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…