Kuku wa Kabanga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2009
- 807
- 368
ww huruhisiwi kutoa pesa mpaka upate sms,..wengine wanachofanya ni kuchukua cmu ya mteja na kunakili namba ya muamala..then anampa helaa
Kunakili namba ya muamala inakusaidia nini,unaitumia vipi hiyo namba?
Just in case mambo yakienda sivyo unakuwa na sehemu ya kuanzia kufanya follow up kwa service provider wako kwa kuwa namba ya muamala inatolewa na service provider i.e vodacom or tiGO
Kawaida unachukua simub ya mteja na kisha unanakili namba ya muamala, then unawapigia tigo au mpesa ku- confirm transaction. Wakikuthibitishia imepita then unampatia fedha. Lakini mara zote unashauriwa kuweka kumbukumbu ya floating balance kila wakati.
Ahsante mkuu,imenisaidia.
Mpesa ni 15366 huwa wanakata kama sh.mia ukiwapigia wadau nahitaji lain ya tigo pesa msaada tafadhali.
Habari zenu wadau
Mimi ni mgeni kwenye hii biashara,naomba ushauri wa uzoefu kuhusu jambo moja,utachukua hatua gani endapo unapata mteja anataka kutoa hela kwenye akaunti yake,lakini anapokurushia wewe ili umpe cash,yeye anapata confirmation sms kutoka mtandao husika lakini wewe wakala hupati,utampa pesa au utamwambia asubiri upate sms hiyo?