Tetramelyz
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 4,364
- 12,456
Shukran kwa elimu kiongozi.[emoji1545]Labda ngoja nikupe elimu ya bure fasta.SUV zipo aina nne ambazo ni:
1.Full size SUV:Mfano Prado,VX,V8.
2.Mid size SUV:Mfano Kluger,Vanguard,Harrier,Suzuki Escudo,etc
3.Crossovers SUV:Honda CR-V,RAV4,Subaru forester.
4.Mini SUV:Mfano Cami,Suzuki kei,Suzuki Swift,Terrois kid.
Prado ni full size SUV wakati akina Kluger na Vanguard ni mid size.Kwa hiyo ni makosa kulinganisha SUV ambazo ni full size pamoja na Mid size au crossovers.
Kumbuka katika mtiririko huo hapo juu ubora wa gari unapungua jinsi unavyoshuka chini,yaani SUV za full size ni nzuri zaidi kuliko SUV za mid size.How come sasa unalinganisha Prado ambayo ipo class A(Full size SUV) na Subaru forester ambayo ipo class C(Crossovers)?!Kwa hiyo hapo Prado ndiyo gari bora kuliko zote ulizotaja hapo.
Ni mkoani kabisa, hakuna lami ni full vumbi... Gari ipi kati ya hizi itafaa kwa mazingira hayo?
Pia waweza recommend models zingine zinazofanania muundo huo wa SUV for convenience.
Subaru ya 2007 ni 8.1m, ya 2010 ni 8.6m, Rav4 ni 12m, Vanguard ni 14 na hiyo Prado ni 24m + usafiri na inspection.
Nawasilisha ....
View attachment 1868756View attachment 1868757View attachment 1868758View attachment 1868759View attachment 1868760
Akishindwa kupata ushauri huu basi tena jamaa atapotea...Labda ngoja nikupe elimu ya bure fasta.SUV zipo aina nne ambazo ni:
1.Full size SUV:Mfano Prado,VX,V8.
2.Mid size SUV:Mfano Kluger,Vanguard,Harrier,Suzuki Escudo,etc
3.Crossovers SUV:Honda CR-V,RAV4,Subaru forester.
4.Mini SUV:Mfano Cami,Suzuki kei,Suzuki Swift,Terrois kid.
Prado ni full size SUV wakati akina Kluger na Vanguard ni mid size.Kwa hiyo ni makosa kulinganisha SUV ambazo ni full size pamoja na Mid size au crossovers.
Kumbuka katika mtiririko huo hapo juu ubora wa gari unapungua jinsi unavyoshuka chini,yaani SUV za full size ni nzuri zaidi kuliko SUV za mid size.How come sasa unalinganisha Prado ambayo ipo class A(Full size SUV) na Subaru forester ambayo ipo class C(Crossovers)?!Kwa hiyo hapo Prado ndiyo gari bora kuliko zote ulizotaja hapo.
ChaiiPrado au Rav 4.... Subaru ni gari ghali sana kuihudumia.. inauzwa bei rahisi ila spea zake bei imechangamka hatari.. maintanance cost ya Subaru haipishani sana na VX V8..
Ye dropped "DONDA" , Ni66er still wining .What you think I rap for, to push a fvck!ng Rav-4?
hmna gari takataka sema hukununua gari uipendayo au size ako i hv subaru 10yrs now nachange tu modelsSubaru Ni takataka
Je waweza kutupatia siri moja ya kwanini unapenda zaidi subaru na sio aina zingine za magari?subaru 10yrs now nachange tu
What you think I rap for, to push a fvck!ng Rav-4?
kwa ufupi sanaaa n gari yangu ya 3 na ndipo nikaona nmepata kitu sahihi nilichokuwa nahitaji kutokana na passion angu ya magariJe waweza kutupatia siri moja ya kwanini unapenda zaidi subaru na sio aina zingine za magari?
Nina hakika kuna kitu cha ziada ambacho wengi hatujui kuhusu subaru.
Ahsante