Kwa mchango mkubwa kiuchumi wa mikoa ya Mwanza na Mbeya ni hasara kubwa kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa wa Msalato kujengwa Dodoma

Kwa mchango mkubwa kiuchumi wa mikoa ya Mwanza na Mbeya ni hasara kubwa kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa wa Msalato kujengwa Dodoma

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wadau hamjamboni nyote?

Sina chuki wala husuda yeyote ila Dodoma kujengwa uwanja wa ndege wa kimataifa ni hasara kiuchumi

Mkoa hauna mchango mkubwa kiuchumi kwa nchi yetu japo unapigiwa debe kila kukicha kwa nguvu kubwa

Serikali itafakari upya na tuwekeze kwenye mikoa yenye mchango mkubwa kiuchumi

Tusilazimishe kujenga Dodoma ati kwakuwa ni makao makuu huku faida halionekani.

Soma Pia: Ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Msalato (Dodoma) wafikia Asilimia 72

Karibuni tujadili
 
Wadau hamjamboni nyote?

Sina chuki wala husuda yeyote ila Dodoma kujengwa uwanja wa ndege wa kimataifa ni hasara kiuchumi

Mkoa hauna mchango mkubwa kiuchumi kwa nchi yetu japo unapigiwa debe kila kukicha kwa nguvu kubwa

Serikali itafakari upya na tuwekeze kwenye mikoa yenye mchango mkubwa kiuchumi

Tusilazimishe kujenga Dodoma ati kwakuwa ni makao makuu huku faida halionekani.

Soma Pia: Ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Msalato (Dodoma) wafikia Asilimia 72

Karibuni tujadili
Rudi darasani kwa maana ukichoandika hapa ni zaidi ya utapeli
 
Wadau hamjamboni nyote?

Sina chuki wala husuda yeyote ila Dodoma kujengwa uwanja wa ndege wa kimataifa ni hasara kiuchumi

Mkoa hauna mchango mkubwa kiuchumi kwa nchi yetu japo unapigiwa debe kila kukicha kwa nguvu kubwa

Serikali itafakari upya na tuwekeze kwenye mikoa yenye mchango mkubwa kiuchumi

Tusilazimishe kujenga Dodoma ati kwakuwa ni makao makuu huku faida halionekani.

Soma Pia: Ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Msalato (Dodoma) wafikia Asilimia 72

Karibuni tujadili
Bora wa Msalato wa Chato je
 
Back
Top Bottom