Kwa mdada aliye serious

Kwa mdada aliye serious

Submissive

Member
Joined
Sep 19, 2012
Posts
73
Reaction score
21
Nimekuwa nikisoma huku JF kwamba kuna watu walioweza hata kupata wenzi wa maisha yao, nami nimeona ni vema kutumia nafasi hii pia katika mchakato huo.
Mimi ni kijana mwenye miaka 33 amabaye niko kwenye mchakaoto tajwa hapo juu. Ningependa kupata mdada aliye serious; awe na sifa zifuatazo:

1. Mcha Mungu ( mimi ni mkristo hivo awe tayari kwa hilo)
2. Awe model, sina interest ya mdada mnene sana na wala mwenye matiti wanayopenda wazungu (makubwa), niwe wazi tu.
3. Mwenye sura ya kuvutia
4. Si mweusi sana, kwani mimi ni maji ya kunde
5. Mwenye degree au diploma
6. Anayefanya kazi : Maisha sasa ni magumu hivo ni lazima tusaidiane.
7. Mchakaramu na mwenye kujichanganya
8. Mwenye kujiheshimu, sitaki mgawa kwa kijiko
9. Niko Dar hivo ajue ndipo maskani
10. Awe tayari kuwa chini ya mwanaume, kwani ndo kichwa cha familiya.
11Awe tayari kutoa picha na contacts
12. Si mfupi
13. Miaka walau chini ya 29.

Feel free to PM

 
Wewe mkurya ama mjita?
Nimeipenda.ya kutaka mke submissive. Kila la kheri.
 
We umeweka vigezo lukuki! Sawa tumeona ila ingependeza JST SAY SMTH ABT U BRIEFLY. Ili mtu akiku pm ajue What she has to expect. Sio wewe kuchagua vilivo nona na kuuzia wenzio mbuzi kwenye gunia
 
rejea kigezo no 7 sijaelewa.fafanua dada zetu wasijepotea
 
Ufafanuzi:
@ Mkiva:
7. Mchakaramu na mwenye kujichanganya
Mfano, unaweza kuwa na demu wako mmenda labda kwenye function fulani na marafiki zako na pale wako wake/mademu wa marafiki zako, anshindwa hata kupiga nao story, anaishia kuangalia TV wakati wengine wanaongea stories na kula fani. Au hata mkiwa mahali anashindwa hata kuchangia neno. lara 1
She has to expect a good man, as i am. Nina quality za wakaka wa kawaida wa kileo. Si sharobaro, mwenye sura ambaye lara tukitoka watu wanajua kabisa ni husbund wako, hana haja ya kuuliza ati huyu ni shamba boy wako? Sina haja ya kutumia viagra kwani ni hatari

Lara, be the first to PM. Tehetehe.
 
Last edited by a moderator:
@ MadamX,
Hapana, Biblia inatuambia Mume ni kichwa cha familiya.
 
Ningekupm ila no 2 na no 7 ni tatizo kwangu..ila ingekuwa vizuri km nawe ungemwaga zako hapa ili mwenywe sifa zote na utakazo achec km na ww una sifa atakazo!!
 
Back
Top Bottom