Kwa mechi za kimataifa, timu yangu Young Africans tukubali kujifunza kwa Mnyama

Kwani haikuwa offside???we nawe acha ushabiki sasa
 
Hiyo simba mpaka sasa iko kwenye hatua gani tofauti na Yanga? Siyo simba hiyo hiyo iliyocheza na hao Al Hilal kwenye yale mashindano yao, na ikafungwa goli moja kwa 0?

Sasa timu iliyofungwa na hao Al Hilal ndiyo Yanga ikajifunze!! Na hao Al Hilal wana jipya lipi? Kama ni kwenue mechi ya jana, walitokea nyuma na kusawazisha! Na kama ni kukosa magoli, hata Yanga walikosa magoli mengi tu ya wazi!

Mashabiki wa simba mna umbumbumbu mwingi sana! Na mwezi huu mtapiga sana yale makelele yenu ya kumkataa Matola, Mgunda na CEO Barbara! Ni suala tu la muda.
 
Yanga hatuna cha kujifunza kwa timu tunayoifunga ya Simba. labda kuwapulizia dawa za usingizi wapinzani kwenye vyumba vya kupumzikia half time.

Tulipobugi jana Prof Nabi ameona atarekebisha.

Timu haikukaba vizuri na hatukua na bahati
 
Yanga hatuna cha kujifunza kwa timu tunayoifunga ya Simba. labda kuwapulizia dawa za usingizi wapinzani kwenye vyumba vya kupumzikia half time.

Tulipobugi jana Prof Nabi ameona atarekebisha.

Timu haikukaba vizuri na hatukua na bahati
Basi subirini msimu ujao ili mrudi vizuri.
 
Topolo ktk ubora wako. Hii sio ligi ya ndani kwamba unatafuta point. Hiyo ni knockout bro na 99% timu zinapata magoli mengi wakiwa home ground. Kocha wako anaelewa zaidi umuhimu wa kutoeuhusu goli nyumbani na faida ya kutumia vema uwanja wa nyumbani.

Endelea kuhesabu unbeaten zako lkn kwenye michuano hii yale matokeo ya jana kama kweli unajua mpira usingeongea utopolo wajo.

Yes simba leo anacheza ushindi wa simba kule ni kutofungwa goli zaidi ya moja au lutoa sare yoyote halafu kazi itamalizwa kwa mkapa. Upo nyonyo?[emoji28]
 
Hahaaa eti huwez funga goli nyumbani na refa akatae.. weee jamaàaa acha kukariri mpira wa zamani aisee... jana al khadar ya libya imefunga goli 2 walipocheza na azam na zote zimekataliwaa.. na hao al khadar walikuwa nyumbani kwao libyaa.. marefa hawa sio hao wa nbc uliowazoea wanaokubeba wewe kolo...
 
Achana naye huyo haelewi hata maana ya ligi ya. mabigwa Yani yey baada awaze goli moja aliruhusu pale taifa anaaza kujifariji eti mbona ata sisi tumekosa magoli ya wazi kama wao eti kwani Simba yupo kweny hatua gani tofauti na sisi umeona yalivo majinga yanalazimisha kuwa sawa level moja na Simba wanachukulia vitu Kirahisi
 
Hoja kubwa wala siyo kujifunza kwa Simba, ila kujua tatizo liko wapi. Siku nyingi huwa sioni kama Nabi ni kocha sahihi wa kuipa Yanga mafanikio kwa hatua ya Afrika. Yanga anaweza kuendelea kuzifunga timu za ndani ambazo amezizidi kila kitu, ila anapokutana na timu za size yake anafanya vibaya. Kuna vitu ambayo Nabi ameshindwa kuvifanyia kazi, idara ya ulinzi bado ina shida kubwa, karibia kila mechi lazima iruhusu goli, timu kwa ujumla haina speed ya kutosha, wana upigaji wa pasi nyingi ambazo hazina tija. Tatizo kubwa zaidi ni "precision" Yanga wanapata nafasi nyingi za kufunga ila nyingi zinapotea. Yanga hii ina wachezaji wazuri kiasi chake, na wanapaswa kufanya vizuri zaidi ya wanavyofanya kwa sasa.
 
Washabiki wa Yanga ni majuha sana
 
Yanga timu kubwa na sio timu ya mbeleko🥱.Hatujazoea kuchakachua na kimataifa tutapata🤸🤸
 
Endeleeni kubweka. Mkitoka kuisema Yanga, mnarudi kwa Matola, Barbara, na sasa ameongezeka Juma Mgunda.
 
Endeleeni kubweka. Mkitoka kuisema Yanga, mnarudi kwa Matola, Barbara, na sasa ameongezeka Juma Mgunda.
Haya majamaa ni mazuzu sana, yameshasahau kuwa bado Yanga ana nafasi nzuri tu ya kushinda ugenini.

Tatizo yalishakariri yenyewe kupitia uchawi lazima yatashinda kwa mkapa basi timu nyingine iwe hivyo hivyo.

Bahati nzuri MAYELE alishinda jana, maana yalishajiandaa kumuandama kuwa zile hat trick zake zilikuwa za kichovu lakini aliwakata midomo yao kama chuchunge.

Tunamsubiri muda uamue kwa dkdk 90 zingine tena ili MAKOLO yaendelee kuteseka kwa maajabu ya mpira utavyowakatili kimatokeo [emoji4]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…