Kwa members na wasio members hapa jf!

Kubingwa

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2010
Posts
505
Reaction score
69
[h=6]Rafiki zangu ukiona binaadam anajiona imara mbele ujuwe nyuma ni dhaifu,na ukiona anajiona upande wake wa kulia ni imara ujue kushoto kwake ni dhaifu,pia ukiona amejiimarisha kila sehemu jua nidhaifu kila sehemu, kwa kuwa nami ni sehemu ya binaadam namini sikuwa sahihi kila wakati humu JF,hivyo ningeomba samahani kwa wale wote comment zangu ziliwakwaza kwa njia moja au nyingine.
Baada ya kusema hayo;
Nawatakia Kheri ya Mwaka Mpya,Tuimarishe Amani,Mshikamano na Upendo!
Mungu Awabariki saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana!.
[/h]Happy New Year - 2012!
 
Atiiii................Umesema! Ahaaa, asante
 
heri ya mwaka mpya na wewe pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…