Timu ikifanya vizuri kwenye mechi fulani, PONGEZI apewe Dkt Magufuli na Mwenyekiti wa kamati ya hamasg, Makonda. Timu ikifanya vibaya LAWAMA apewe Coach Amunike.
Huu ni unafki wa aina fulani.
Naona Taifa na Serikali in Particular, ndio wa kubeba LAWAMA zaidi. Tumewekeza vipi katika michezo mfano soka kwa vijana wetu? Hakuna.
Mwakyembe ndiye angejiandaa kujiuzulu as morning call kuizindua Serikali yake.
Leo Tunajivunia Samata anacheza Ulaya. Tuambieni Mlisaidiaje akafika huko?
Huu ni unafki wa aina fulani.
Naona Taifa na Serikali in Particular, ndio wa kubeba LAWAMA zaidi. Tumewekeza vipi katika michezo mfano soka kwa vijana wetu? Hakuna.
Mwakyembe ndiye angejiandaa kujiuzulu as morning call kuizindua Serikali yake.
Leo Tunajivunia Samata anacheza Ulaya. Tuambieni Mlisaidiaje akafika huko?