Kwa mfano Jf kungekuwa na sehemu ya "kublock user" ni nani asingegusa uzi wako?

Kwa mfano Jf kungekuwa na sehemu ya "kublock user" ni nani asingegusa uzi wako?

Wa-add kwenye ignore list kama wanakudhi.

Mimi ningeanza na wewe kwa kuandika mada za Kipumbavu tu.
 
unamweka tu kwa ignore list...........hakuoni wala haumuoni.....umemaliza kesi.
 
Back
Top Bottom