Tetesi: kwa mfano tusingesoma tungekuwa wapi

ketone

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2016
Posts
509
Reaction score
655
kwa mfano tusingesoma elimu hii ya chuo tuka tuliishia labda form four au darasa la saba tukawa tulienda kujifunza udereva tukawa madreva wa mabasi ya mkoani au semitrella kiuchumi tungekuwa wapi..? hebu leta maoni yako
 
Pamoja na kusoma kote tumeishia hapa..sasa wewe jazia kama NO SCHOOL mambo ingekuwaje...???wote tungeingia motoni kwa kusema UWONGO
 
Kuna maprofesa wamesoma lakini wanadhalilika afadhali hata ya msukuma guta, na kuna watu hawajasoma lakini wameajiri na wanawadhalilisha wasomi, akili unayo mkichwa
 
Tafuta wazee waliozaliwa miaka ya 1930 watakupa jibu.
 
Swali lako lina mashiko saana mkuu! Na elimu yangu ya chuo kikuu ila mpaka sasa bado narusha makende kwa mshahara paid on hand finished on mouth..!

Wenzangu ambao hawakusoma waliowahi mtaani, msingi mpenenge wanaendesha tu magari.
 
Swali lako lina mashiko saana mkuu! Na elimu yangu ya chuo kikuu ila mpaka sasa bado narusha makende kwa mshahara paid on hand finished on mouth..!

Wenzangu ambao hawakusoma waliowahi mtaani, msingi mpenenge wanaendesha tu magari.


Hujachelewa! acha na hiyo kazi uliyoipata kupitia elimu yako kajumuike na wale ambao hawakusoma utaendesha tu gari.
 
Hujachelewa! acha na hiyo kazi uliyoipata kupitia elimu yako kajumuike na wale ambao hawakusoma utaendesha tu gari.

Thubuuutu!!

Isije kuwa kama ile hadithi ya sungura alietaka kula harusi zote mwishowe hakakosa zote kwa mkupuo.

Nitachechemea tu na kakibarua kangu, labda jehova ataninyooshea na Mimi.
 
kwa mfano tusingesoma elimu hii ya chuo tuka tuliishia labda form four au darasa la saba tukawa tulienda kujifunza udereva tukawa madreva wa mabasi ya mkoani au semitrella kiuchumi tungekuwa wapi..? hebu leta maoni yako
Tungeishi ndugu, kihistoria inasemekana kuwa karne ya 15 ulaya na afrika tuikuwa sawa kwa vielelezo vya maendeleo kama Elimu, teknolojia,kilimo, biashara nk, kitu kinatotuangusha sana waafrika ni umimi kuliko usisi, rushwa na elimu ya kizungu
 
Thubuuutu!!

Isije kuwa kama ile hadithi ya sungura alietaka kula harusi zote mwishowe hakakosa zote kwa mkupuo.

Nitachechemea tu na kakibarua kangu, labda jehova ataninyooshea na Mimi.


Basi jifunze kumshukuru Mungu kwa yote na uzidishe juhudi kufikia yale malengo yako
 
Thubuuutu!!

Isije kuwa kama ile hadithi ya sungura alietaka kula harusi zote mwishowe hakakosa zote kwa mkupuo.

Nitachechemea tu na kakibarua kangu, labda jehova ataninyooshea na Mimi.
Acha uoga wa maisha...
 
Bakhresa std 7 na ametoa zaidi ya ajira elf tano ndani Na nje ya nchi,wewe mwenye masters umemuajiri nan?asilimia kubwa ya wafanya biashara wakubwa duniani ni wale ambao darasani walikuwa weupe,lakini ndio watu wanao inua uchumi wa nchi zao.
 
Swali lako lina mashiko saana mkuu! Na elimu yangu ya chuo kikuu ila mpaka sasa bado narusha makende kwa mshahara paid on hand finished on mouth..!

Wenzangu ambao hawakusoma waliowahi mtaani, msingi mpenenge wanaendesha tu magari.
Hapo ndo hata mimi huwa naona hiki cheti cha digrii bora nifungie bagia tu,,,,waliofeli form 4 nkawaacha street wengi wao wako financially enough
 
kwanza tusinge zalauliana kitaani ingekua safiiii tyu mpela


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Tafuta wazee waliozaliwa miaka ya 1930 watakupa jibu.
kweliiii
Swali lako lina mashiko saana mkuu! Na elimu yangu ya chuo kikuu ila mpaka sasa bado narusha makende kwa mshahara paid on hand finished on mouth..!

Wenzangu ambao hawakusoma waliowahi mtaani, msingi mpenenge wanaendesha tu magari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…