GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 6,260
- 14,470
Salaam Wakuu
Sote tunayo taarifa ya mipango ya kufanyika Maandamano. Yanayoandaliwa na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Maandamano hayo yanakuja baada ya vitendo vya utekaji na mauaji ya baadhi ya viongozi wa Chama hicho.
Tayari Jeshi la Polisi Nchini limeshapiga marufuku uwepo wa maandamano hayo. Kutokana na historia ya maandamano nchini hasa hivi karibuni.
Pia soma: Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
Mengi yamekuwa hayafanyiki.
Viongozi wanakamatwa, na hakuna mwanachama anajitokeza barabarani.
Je, kipindi hiki Viongozi wakuu wakikamatwa, kuna mwanachama au mfuasi wa CHADEMA atajitokeza kuandamana au watajifungia ndani?
Sote tunayo taarifa ya mipango ya kufanyika Maandamano. Yanayoandaliwa na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Maandamano hayo yanakuja baada ya vitendo vya utekaji na mauaji ya baadhi ya viongozi wa Chama hicho.
Tayari Jeshi la Polisi Nchini limeshapiga marufuku uwepo wa maandamano hayo. Kutokana na historia ya maandamano nchini hasa hivi karibuni.
Pia soma: Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
Mengi yamekuwa hayafanyiki.
Viongozi wanakamatwa, na hakuna mwanachama anajitokeza barabarani.
Je, kipindi hiki Viongozi wakuu wakikamatwa, kuna mwanachama au mfuasi wa CHADEMA atajitokeza kuandamana au watajifungia ndani?