Kwa mfano

Peculiar

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2015
Posts
821
Reaction score
689
Umelala usinguzi, halafu ukaota mtu anakuuliza,
unahisi 1500,000,000,000/= zitakua zimetumika kufanyia nini?


Mfano Mimi ntamjibu; kwa kuwa nimesikia matumizi yake hayajulikani, basi zitakua zimetumiwa katika shughuli ambazo hazijulikani pia.

Wewe utasema zimetumika kufanya nini kwa kuhisi tu ukiwa ndotoni?
 
Zimetumika na watu wasiojulikana.
 
Kununulia wabunge na madiwani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…