Kwa mfumo huu wa TRA wengi tutafunga Biashara

Mazingira ya kodi yaliyo ya uaminifu kabisa kabisa ni magumu!
 
Pole sana mkuu,hao washenzi,natamani niwe mmoja wa "wasiojurikana"ili nikutane nao kitaani kwetu,niwatumbue
 
Tupe mrejesho wa utitiri wa kodi kuanzia Huduma za Afya Elimu na mfumko wa bei.Mbona pesa mnakusanya lakini mnazihamishia nje ya nchi? Serkali hii moto wa milele ni sehemu yenu.
 
Hao TRA bichwa ngumu sana wao walishakariri kufunga tu
 
Tupe mrejesho wa utitiri wa kodi kuanzia Huduma za Afya Elimu na mfumko wa bei.Mbona pesa mnakusanya lakini mnazihamishia nje ya nchi? Serkali hii moto wa milele ni sehemu yenu.
Kijana mimi siko serikalini; uchambuzi ule unatokana changamoto zinatoka kwa wateja wangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…