Kwa mfumo Nani ataepusha Tanzania na machafuko ya Kidini?

Kwa mfumo Nani ataepusha Tanzania na machafuko ya Kidini?

Malaria Sugu

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2009
Posts
2,653
Reaction score
266
Mahakama imeuchambua ushahidihuo na kuona kuna mashahidi ambao ni viongozi wa BAKWATA walitoa ushahidiulioonyesha kuwa kiwanja cha Chang'ombe Markas zamani kilikuwa ni mali ya BAKWATAlakini ikaamua kubadilishana kiwanja hicho na kampuni ya Agritanza Ltd.
Hakimu Nongwa alisema pia ushahidiuliotolewa na upande wa jamhuri unaonyesha BAKWATA iko chini ya waumini wa diniya Kiislamu wote nchini, nakwamba kuna baadhi ya waumini wa dini ya Kiislamu hawakuridhishwa na uamuzi waBAKWATA kuhamishia umiliki wa kiwanja hicho kampuni ya Agritanza Ltd.

KATIBA YA TANZANIA
Uhuru wa mtu
kuamini dini
atakayo Sheria
ya 1984
Na.15 ib.6
Sheria ya 1992
Na.4 ib…

19.-(1) Kila mtu anastahili kuwa na uhuru wa mawazo, imani
na uchaguzi katika mambo ya dini, pamoja na uhuru wa mtu
kubadilisha dini au imani yake.
(2) Bila ya kuathiri sheria zinazohusika za Jamhuri ya
Muungano, kazi ya kutangaza dini, kufanya ibada na kueneza
dini itakuwa ni huru na jambo la hiari ya mtu ya binafsi, na
shughuli na uendeshaji wa jumuiya za dini zitakuwa nje ya
shughuli za mamlaka ya nchi.
Kila palipotajwa neno
"dini" katika ibara hii ifahamike
kwamba maana yake ni pamoja na madhehebu ya dini, na
maneno mengineyo yanayofanana au kuambatana na neno hilo
nayo yatatafsiriwa kwa maana hiyo.



JEE IPI TAASISI YA WAKIRISTO INAOSIMAMIA WAKIRISTO WOTE TANZANIA?
KAMA JAJI ALIESOMEA SHERIA ANAFANYA HAYA. NCHI INAELEKEA WAPI?

 
Mahakama imeuchambua ushahidihuo na kuona kuna mashahidi ambao ni viongozi wa BAKWATA walitoa ushahidiulioonyesha kuwa kiwanja cha Chang?ombe Markas zamani kilikuwa ni mali ya BAKWATAlakini ikaamua kubadilishana kiwanja hicho na kampuni ya Agritanza Ltd.
Hakimu Nongwa alisema pia ushahidiuliotolewa na upande wa jamhuri unaonyesha BAKWATA iko chini ya waumini wa diniya Kiislamu wote nchini, nakwamba kuna baadhi ya waumini wa dini ya Kiislamu hawakuridhishwa na uamuzi waBAKWATA kuhamishia umiliki wa kiwanja hicho kampuni ya Agritanza Ltd.

KATIBA YA TANZANIA
Uhuru wa mtu
kuamini dini
atakayo Sheria
ya 1984
Na.15 ib.6
Sheria ya 1992
Na.4 ib?

19.-(1) Kila mtu anastahili kuwa na uhuru wa mawazo, imani
na uchaguzi katika mambo ya dini, pamoja na uhuru wa mtu
kubadilisha dini au imani yake.
(2) Bila ya kuathiri sheria zinazohusika za
Jamhuri ya
Muungano, kazi ya kutangaza dini, kufanya ibada na kueneza
dini itakuwa ni huru na jambo la hiari ya mtu ya binafsi, na
shughuli na uendeshaji wa jumuiya za dini zitakuwa nje ya
shughuli za mamlaka ya nchi.
Kila palipotajwa neno
"dini" katika ibara hii ifahamike
kwamba maana yake ni pamoja na madhehebu ya dini, na
maneno mengineyo yanayofanana au kuambatana na neno hilo
nayo yatatafsiriwa kwa maana hiyo.



JEE IPI TAASISI YA WAKIRISTO INAOSIMAMIA WAKIRISTO WOTE TANZANIA?
KAMA JAJI ALIESOMEA SHERIA ANAFANYA HAYA. NCHI INAELEKEA WAPI?

bila mfumo wa utawala wa nchi ye2 usipoangaliwa vizur utakuja leta machafuko makubwa.
Heri tujadiliane na kutafuta suluhu ya kudum sio kufunika taka chini ya jamvi.
Naipenda Tanzania na watu wake.
Allah tujalie Amam
 
viongozi wa BAKWATA ifike mahali wafanye maamuzi baada ya kuwapa taarifa waislamu kwa sababu hizo mali wanazozisimamia ni za waislamu, suala la kuuza mali na kunufaisha matumbo yao hilo halikubaliki na waislamu wote tanzania na sio ponda peke yake! ebu tuwe tunangalia chanzo cha tatizo na sio kuangalia tatizo tuache ushabiki wa kijinga!
 
Taratibu zipo wazi.BAKWATA waliuza kiwanja kama hatujaridhika inatupasa tuilazimishe au tuipeleke mahakamani.Kama viongozi waliuza kwa ajili ya matumbo yao tuwataje ili wawajibike kurudisha kiwanja kwa taratibu stahiki.Kama kila mtu/kikundi kisiporidhika na uuzwaji wa mali zao halafu wakajikusanya na kwenda kuvamiaa nchi hii itatawalika kweli?Kama kikundi /watu watataka kufuata utashi wao si itakuwa fujo tupu?Sheria isimame katikati na ifuatwe na wote bila kupindishwa
 
Taratibu zipo wazi.BAKWATA waliuza kiwanja kama hatujaridhika inatupasa tuilazimishe au tuipeleke mahakamani.Kama viongozi waliuza kwa ajili ya matumbo yao tuwataje ili wawajibike kurudisha kiwanja kwa taratibu stahiki.Kama kila mtu/kikundi kisiporidhika na uuzwaji wa mali zao halafu wakajikusanya na kwenda kuvamiaa nchi hii itatawalika kweli?Kama kikundi /watu watataka kufuata utashi wao si itakuwa fujo tupu?Sheria isimame katikati na ifuatwe na wote bila kupindishwa

Taasisi inayoshughulikia
mambo ya wakristo ipo?
 
Sikuelewi, unataka kusema kila kilichoko kwa Waislamu ni lazima pia kuwepo kwa Wakristu na kinyume chake? Kila dini ina mfumo wake mistake kulazimisha.
 
Taasisi inayoshughulikia
mambo ya wakristo ipo?

Kwa nini kila madhaifu yenu lazima mtafute kitu cha kulinganishia kwenye Ukristo?

Kanisa sio Taasisi ya kihuni kiasi kila mmoja awe na kauli za ajabu ajabu kama mnavyofanya na sioni sababu ya kulinganisha. Tunalo Baraza La Maaskofu na ndio maana hujawahi kusikia vikundi vikundi vya ajabu ajabu mara hivi vya ndevu na hivi vya nguo fupi kila kimoja kikiwa na msimamo wake.

Naomba niwakumbushe kuwa, Serikali ya Awamu ya Kwanza iliamua kuunda BAKWATA ili kujaribu kuwa na Central Figure baina ya Waislam. Sasa kwa akili za chap chap, unaweza ukafikiri kuwa ilikuwa nia mbaya, lkn mnaweza kuona hata sasa wanaibuka Mawahabi na kusema dhehebu fulani ni Makafiri na kamwe sio Waislam.

Kanisa lina Uongozi World Wide kwa kuwa aliyelianzisha miaka zaidi ya 2000 iliyopita (Yesu Kristo) bado yu hai, lkn hizi dini za marehemu ni fujo kwa kuwa haijulikani nani anaripoti kwa nani. Ndio maana kila mmoja wenu anatafsiri mambo kwa namna anavyojisikia.
 
Uhalifu hauchagui dini wala kabila. Mhalifu lazima ashuighulikiwe kisheria bila kujali hayo!
 
Back
Top Bottom