Kwa Mfumo wa Elimu ya Tanzania ulivyo ni vigumu sana kuibua Falsafa za Gen Z Katikati ya Vijana wetu

Kwa Mfumo wa Elimu ya Tanzania ulivyo ni vigumu sana kuibua Falsafa za Gen Z Katikati ya Vijana wetu

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Huo ndio ukweli Elimu ya Tanzania hutolewa kimkakati sana hivyo siyo rahisi kupata Vijana wa kubeba maono ya Gen Z kama ilivyo Kenya na sasa Nigeria

Gen Z ya Kenya imesheheni Wasomi wa Sheria na Teknolojia, sasa unaweza kupima tu hata Viwango vya Mawakili wa Kenya na Tanzania kwa sababu tofauti iko bayana

Wanaodhani Vijana wetu wanaweza kubeba Falsafa za Gen Z nawatoa hofu, waendelee tu na majukumu yao

Ahsanteni

Mlale Unono 😀
 
Tuendee kusoma causes tu....

Land alienation, forced labour, low wages, taxation.
 
Nakubaliana na wewe mkuu!

Ila siyo kwamba ni elimu inatolewa kimkakati, hapana,

Watanzania wengi wako tayari kupigana kisa Kibu Deniss lakini siyo mambo yanayogusa uchumi wa nchi yao, au mambo muhimu kama rasilimali za nchi kutumiwa hovyo nk
 
Mtu asiyeweza kuuliza, how, why... hawezi fanya lolote.
 
Huo ndio ukweli Elimu ya Tanzania hutolewa kimkakati sana hivyo siyo rahisi kupata Vijana wa kubeba maono ya Gen Z kama ilivyo Kenya na sasa Nigeria...
Una uwezo mdogo wa kufikiri..
Elimu inakupa ufahamu tu.. ktk nyanja mbalimbali..

Kujitambua..kujijua..kujifahamu na kuwa na morali ya kimapinduzi sio kazi ya elimu.

Kwa vile wewe una kaelimu Fulani ka hovyo na uko CCM . Unawatukana watanzania wote ambao eti kwa vile hawana vidato then wafikiri hawana fikra za kimapinduzi.

Yani wewe Ni mpumbavu kabisa.

Imagine an individual like u is in the pannel of advisers .
 
Sio mfumo wa Elimu, Sema culture ya kujipendekeza, uongo, na unafiki.

Vijana wote waliisha aminishwa ili upate ajira serikalini lazima uwe UVCC, na Lazima ujipendekeze na uwe mbeya mbeya na unafiki ili wakuone unafaa kutumika.
 
Back
Top Bottom