Kwa mfumuko huu wa bei, kwa sasa mipaka ifungwe

Kwa mfumuko huu wa bei, kwa sasa mipaka ifungwe

alaksh natena

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2017
Posts
462
Reaction score
523
Kutokana na wimbi la upandaji wa mafuta ya vyombo vya moto nchini pamoja na uchache wa chakula kulikosababishwa na mvua chache za masika, nashauri mama SSH afunge mipaka mpaka pale Nchi itakapokuwa stable.

Kwa sasa Bei za vyakula hazishikiki kila Kona Bei juu. Jana nilikuwa Mpanda Kuna warundi na wakongo wanafungasha magunia kwa magunia na kupeleka makwao kwenye stoo sie tunabweteka tu by Dec 2022 tutajuta kwa njaa, naripoti toka maji Moto-Mpimbwe
 
Unataka mipaka ifungwe au chakula kisiuzwe nje?

Unaelewa ni vitu vingapi wewe unategemea kutoka huko nje?
 
Back
Top Bottom