Hivi wewe unayejua kusoma unaona umechambua matumizi ya mikopo hiyo kweli? Sisi tusiojua kusoma tunataka kusikia jinsi gani mikopo hiyo ilivyotumika na siyo majibu ya jumla jumla ya kututajia majina ya miradi. Hiyo haitoshi. Mwenzetu msomi tuambie kuwa SGR ilitumika Sh. ...., Nyerere Dam Sh. ..., UVIKo-19 Sh. .... n.k. Kinyume chake ni ubabaishaji tu.