Kwa Milioni 200 naweza pata kiwanja cha biashara Morogoro mjini?

Kwa Milioni 200 naweza pata kiwanja cha biashara Morogoro mjini?

Vichekesho

Member
Joined
Jun 20, 2024
Posts
66
Reaction score
3,277
Hapa namaanisha kiwanja kilichopimwa, kinachotazama barabara ambayo iko busy mahali ambapo naweza kujenga jengo la biashara na ofisi.

Kiwe na full documents, kisiwe na migogoro, mauziano yafanyike mbele ya mawakili wasomi na wataalamu wa mambo ya ardhi bila kusahau viongozi wa eneo husika.

Je bajeti hii inatosha na kama inatosha ni mitaa gani? ISIWE USWAHILINI
 
1387014-Luca-Movie.jpg
 
Ongeza kidogo.. maana unataka watu wavunje ghorofa zao wakupe eneo
 
Kwa Dar es salaam, pale Manzese au Magomeni kwenye nyumba za uswahilini zinaweza kuuzwa bei gani?
 
Inawezekana mkuu
Morogoro Mimi naiona bado imezubaa
Yaani pale center papo vile vile miaka nenda Rudi
Masika kuelekea msamvu unaweza pata Kwa hela hiyo
 
Unataka wakili wasomi!! Hivi kuna wakili wasio wasomi??
 
Hapa namaanisha kiwanja kilichopimwa, kinachotazama barabara ambayo iko busy mahali ambapo naweza kujenga jengo la biashara na ofisi.

Kiwe na full documents, kisiwe na migogoro, mauziano yafanyike mbele ya mawakili wasomi na wataalamu wa mambo ya ardhi bila kusahau viongozi wa eneo husika.

Je bajeti hii inatosha na kama inatosha ni mitaa gani? ISIWE USWAHILINI
Njoo Dm nikuunganishe na Dalali makini! Kama upo serious
 
Back
Top Bottom