Vichekesho
Member
- Jun 20, 2024
- 66
- 3,277
Njoo Dm nikuunganishe na Dalali makini! Kama upo seriousHapa namaanisha kiwanja kilichopimwa, kinachotazama barabara ambayo iko busy mahali ambapo naweza kujenga jengo la biashara na ofisi.
Kiwe na full documents, kisiwe na migogoro, mauziano yafanyike mbele ya mawakili wasomi na wataalamu wa mambo ya ardhi bila kusahau viongozi wa eneo husika.
Je bajeti hii inatosha na kama inatosha ni mitaa gani? ISIWE USWAHILINI