Kwa milioni 4 naweza kujenga nyumba ya kupangisha na fremu za biashara

Kwa milioni 4 naweza kujenga nyumba ya kupangisha na fremu za biashara

zabron k

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2015
Posts
943
Reaction score
1,107
Nawasalimu kwa Jina la Jamuhuri ya Muungano.

Kuna jamaa nilikuwa namdai kanilipa 4m juzi, Sasa nafikiria kujenga nyumba ya biashara (chumba na choo chake) vyumba 3 pamoja na fremu 2 kwenye eneo la 20×30. Kwa jinsi nilivyo nahisi hii pesa itapotea hivyo ni Bora niiweke huko.

Swali. Je nitatoboa kweli? Au nikale bia na mbuzi choma?

Kiwanja kipo Tunduru mjini
 
Jenga taratibu....wezi na mafisadi ndio wanapandisha nyumba kama uyoga ila wananchi wa kawaida nyumba hata miaka mitano mzee baba
 
Hela Nyingi sana
Jenga nyumba ya tope piga plasta ya kisasa
 
Sio mwenyeji wa Tunduma ila kama ni kijijini nunua tofali za kuchoma zitakusukuma parefu sana.


Tafuta ramani rafiki itakayoweka miundo mbinu kama vyoo eneo moja kurahisisha makaro ya maji taka.

Ezeka contemporary iliyochangamka ( slope ) itapunguza idadi ya mbao na bati.

Kama ukihisi pesa inawezakata njiani, bora piga feame za biashara achana na nyumba za kukodisha, hizo frame zinaweza zalisha pesa ya kiwanja kingine na kujenga nyumba ya kupangisha. Kikubwa uwe na nia na shauku ya kutimiza malengo yako.

Ikishindikana kabisa kabisa weka heshima bar...
 
Sio mwenyeji wa Tunduma ila kama ni kijijini nunua tofali za kuchoma zitakusukuma parefu sana.


Tafuta ramani rafiki itakayoweka miundo mbinu kama vyoo eneo moja kurahisisha makaro ya maji taka.

Ezeka contemporary iliyochangamka ( slope ) itapunguza idadi ya mbao na bati.

Kama ukihisi pesa inawezakata njiani, bora piga feame za biashara achana na nyumba za kukodisha, hizo frame zinaweza zalisha pesa ya kiwanja kingine na kujenga nyumba ya kupangisha. Kikubwa uwe na nia na shauku ya kutimiza malengo yako.

Ikishindikana kabisa kabisa weka heshima bar...
Shikamoo kaka mkubwa
Naomba penyeza Raman simple uliyonayo
 
Iyo unajenga na unahamia kabisa... Nyumba ya vyumba vi5 vyote masters, ukipata fundi mzuri na fence unaweka.... Finishing saafi kabisa teena uaezeka msouth.... Million 4 nyingi saana.

Bati laki 5
Cement laki 5
Tofari laki 5
Finishing laki 5
Madirisha laki 5
Milango laki 5
Shimo la choo na wiring lski 5
Fundi laki 5


Umehamia chap
 
Iyo unajenga na unahamia kabisa... Nyumba ya vyumba vi5 vyote masters, ukipata fundi mzuri na fence unaweka.... Finishing saafi kabisa teena uaezeka msouth.... Million 4 nyingi saana.

Bati laki 5
Cement laki 5
Tofari laki 5
Finishing laki 5
Madirisha laki 5
Milango laki 5
Shimo la choo na wiring lski 5
Fundi laki 5


Umehamia chap
Pagale
 
Back
Top Bottom