Kwa misukosuko anayopitia Mbowe, akipata urais atakuwa kama Idd Amin kifalsafa

Kwa misukosuko anayopitia Mbowe, akipata urais atakuwa kama Idd Amin kifalsafa

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Nawaza tu huyu Mbowe aliyetia nia ya kuwa Rais wa Tanzania kwa misukosuko hii anayopitia hatakuwa mtu mwenye visasi kweli?

Kisasi siyo lazima uwe ulitendewa ubaya bali hata kutenda kwa niaba ya wengine.

Wananchi tuwapime vizuri hawa wagombea wetu na falsafa wanazoingia nazo kwenye Uchaguzi maana kwa maendeleo tuliyopata ndani ya miaka hii 5 tulipaswa kufanya Uchaguzi wa wabunge na madiwani pekee na Rais Magufuli apite bila kupingwa.

Maendeleo hayana vyama!
 
Kwa dunia ya sasa huo udictator unaufanyia wapi duniani ya sasa inawasomi wa kila aina unafanyia wapi huo uzandiki.!
 
Hapo suluhu ni kutokuwaletea watu misukosuko kuepusha visasi. Sawa Mbowe mbaweza kumzuia, lakini ni wangapi wameumizwa na kupitia misukosuko? Hao wote mtazuia wasishike nyadhifa? Kumbe mnajijua kabisa kwamba mbawaletea watu bughdha kwa makusudi?
 
Nawaza tu huyu Mbowe aliyetia nia ya kuwa Rais wa Tanzania kwa misukosuko hii anayopitia hatakuwa mtu mwenye visasi kweli?

Kisasi siyo lazima uwe ulitendewa ubaya bali hata kutenda kwa niaba ya wengine.

Wananchi tuwapime vizuri hawa wagombea wetu na falsafa wanazoingia nazo kwenye Uchaguzi maana kwa maendeleo tuliyopata ndani ya miaka hii 5 tulipaswa kufanya Uchaguzi wa wabunge na madiwani pekee na Rais Magufuli apite bila kupingwa.

Maendeleo hayana vyama!
Mkuu, akili inaanza kuwarudi eeh! Ukiuwa kwa upanga nawe utauwawa kwa upanga. Ama pia kuna msemo unatuambia mkuki kwa nguruwe, ila kwa binadamu ......
 
Wananchi tuwapime vizuri hawa wagombea wetu na falsafa wanazoingia nazo kwenye Uchaguzi maana kwa maendeleo tuliyopata ndani ya miaka hii 5 tulipaswa kufanya Uchaguzi wa wabunge na madiwani pekee na Rais Magufuli apite bila kupingwa.
Hii nchi ingeendelea wakati wa utawala wa Kikwete wakati ule Lowassa akiwa PM. Kwa muda mfupi mengi yalifanyika yakiigusa jamii hata kwa mtu mmoja mmoja. Sijui hata ikawaje kila kitu kikavurugika.
Lakini kiukweli hawa Boys 2 Men ndio walikuwa wanaitoa nchi kwa level zingine kabisa ingawa pia nao walikuwa na changamoto zao kama binadam tulivyo tuna madhaifu yetu
 
Nawaza tu huyu Mbowe aliyetia nia ya kuwa Rais wa Tanzania kwa misukosuko hii anayopitia hatakuwa mtu mwenye visasi kweli?

Kisasi siyo lazima uwe ulitendewa ubaya bali hata kutenda kwa niaba ya wengine.

Wananchi tuwapime vizuri hawa wagombea wetu na falsafa wanazoingia nazo kwenye Uchaguzi maana kwa maendeleo tuliyopata ndani ya miaka hii 5 tulipaswa kufanya Uchaguzi wa wabunge na madiwani pekee na Rais Magufuli apite bila kupingwa.

Maendeleo hayana vyama!
Hapana bwana, Mbowe ni mtu mwerevu sana na akiwa rais atamsamehe jiwe kila kitu. Hata Lissu naye atasamehe kila kitu. Jiwe hana haja ya kuwa na hofu yoyote atasamehewa yote haya kama vile kuwapiga na kujaribu kuwaua na kuwapoteza wanasiasa mbalimbali kwa kutumia vijana wake wa kisu ****, kuwaonea watu, kuwatukana na hata kuua matajiri fulani fulani ambao anafikiri wanadhamini upinzani. Atasamehewa yote hayo bwana, watanzania watu wazuri sana hawana kinyongo na mtu.
 
Kwani mnamashaka gani mpaka muhisi Mbowe atawalipieni visasi enyi wadhulmaji, warushi wa kisiasa na wanyanganyi?
 
Nawaza tu huyu Mbowe aliyetia nia ya kuwa Rais wa Tanzania kwa misukosuko hii anayopitia hatakuwa mtu mwenye visasi kweli?

Kisasi siyo lazima uwe ulitendewa ubaya bali hata kutenda kwa niaba ya wengine.

Wananchi tuwapime vizuri hawa wagombea wetu na falsafa wanazoingia nazo kwenye Uchaguzi maana kwa maendeleo tuliyopata ndani ya miaka hii 5 tulipaswa kufanya Uchaguzi wa wabunge na madiwani pekee na Rais Magufuli apite bila kupingwa.

Maendeleo hayana vyama!
Aisee, kumbe kuna waliosababisha hiyo misukosuko na wanaogopa mkuki usiwageukie!
 
Nawaza tu huyu Mbowe aliyetia nia ya kuwa Rais wa Tanzania kwa misukosuko hii anayopitia hatakuwa mtu mwenye visasi kweli?

Kisasi siyo lazima uwe ulitendewa ubaya bali hata kutenda kwa niaba ya wengine.

Wananchi tuwapime vizuri hawa wagombea wetu na falsafa wanazoingia nazo kwenye Uchaguzi maana kwa maendeleo tuliyopata ndani ya miaka hii 5 tulipaswa kufanya Uchaguzi wa wabunge na madiwani pekee na Rais Magufuli apite bila kupingwa.

Maendeleo hayana vyama!
Dikteta mkubwa kabisa huyy mh. Bado uhuni.
 
Kwahiyo una maanisha misukosuko anayoipata mmetengeneza ndo maana mnaogopa atalipiza kisasi akiwa rais?
 
Nawaza tu huyu Mbowe aliyetia nia ya kuwa Rais wa Tanzania kwa misukosuko hii anayopitia hatakuwa mtu mwenye visasi kweli?

Kisasi siyo lazima uwe ulitendewa ubaya bali hata kutenda kwa niaba ya wengine.

Wananchi tuwapime vizuri hawa wagombea wetu na falsafa wanazoingia nazo kwenye Uchaguzi maana kwa maendeleo tuliyopata ndani ya miaka hii 5 tulipaswa kufanya Uchaguzi wa wabunge na madiwani pekee na Rais Magufuli apite bila kupingwa.

Maendeleo hayana vyama!
Kumbe unajua kuwa hamumtendei haki? Mnafanya mchezo wa kitoto Sana wa kumchokoza mbwa wakati wa kwenda ilihali utarudi kwa njia hiyohiyo na huku mbwa akibaki ulikomuacha! Fanyeni na tendeni haki bila kumkandamiza mtu! Ona Sasa mlivyojawa na yoga Hadi mnaanza kuona maluweluwe na mitizamo hasi juu ya mliyemtenda! Usihofu, Mbowe ana Mungu anayemwabudu ambaye amemfundisha kusamehe Saba Mara sabini!
 
Nawaza tu huyu Mbowe aliyetia nia ya kuwa Rais wa Tanzania kwa misukosuko hii anayopitia hatakuwa mtu mwenye visasi kweli?

Kisasi siyo lazima uwe ulitendewa ubaya bali hata kutenda kwa niaba ya wengine.

Wananchi tuwapime vizuri hawa wagombea wetu na falsafa wanazoingia nazo kwenye Uchaguzi maana kwa maendeleo tuliyopata ndani ya miaka hii 5 tulipaswa kufanya Uchaguzi wa wabunge na madiwani pekee na Rais Magufuli apite bila kupingwa.

Maendeleo hayana vyama!
Kumbe mnajua mnayowafanyia wapinzani ni Udhalimu bali mnajitoa akili tu.
 
Back
Top Bottom