Mzukulu
JF-Expert Member
- Feb 14, 2020
- 1,401
- 2,641
Mratibu wa Mtandao wa Elimu Tanzania, Ochola Wayoga, amedai watoto 102 wenye umri wa miaka 13 mpaka 17 wa shule za msingi na sekondari katika Mkoa wa Shinyanga, wamepata ujauzito wakati shule hizo zilipokuwa zimefungwa kutokana na ugonjwa wa corona.
Chanzo: Nipashe Habari
Kuna Shule Moja ya Msingi maarufu sana Wilaya ya Kinondoni hii idadi ya Wanafunzi watakaokutwa na Mimba ikiwa si 500 mpaka 700 basi na Mimi Mzukulu najiuzuru rasmi Kuishangilia Timu ya Taifa ya Tanzania ( Taifa Stars ), Simba Sports Club pamoja na Liverpool FC yangu na sasa kwa mara ya Kwanza nitaanza Kuishabikia Yanga FC. Wazazi wenye Watoto hao nawapeni Pole mno.
Chanzo: Nipashe Habari
Kuna Shule Moja ya Msingi maarufu sana Wilaya ya Kinondoni hii idadi ya Wanafunzi watakaokutwa na Mimba ikiwa si 500 mpaka 700 basi na Mimi Mzukulu najiuzuru rasmi Kuishangilia Timu ya Taifa ya Tanzania ( Taifa Stars ), Simba Sports Club pamoja na Liverpool FC yangu na sasa kwa mara ya Kwanza nitaanza Kuishabikia Yanga FC. Wazazi wenye Watoto hao nawapeni Pole mno.