Mgumu04
JF-Expert Member
- Jul 15, 2011
- 1,940
- 1,055
Habari zenu wakuu!
Kuna siku nilipata wazo la kuongeza mtaji katika biashara yangu ikanibidi niende katika microfinance company moja hivi.
Baada ya kufika nikawaelezea kuwa nahitaji mkopo, ila sasa nilikuja kuchoka kwenye terms zao yani marejesho lazima yafanyike kila siku ukichukua matharani laki moja riba ni 20% kwahiyo kila siku lazima upeleke 2000.
Sasa mkopo kama huu mtu anayefanya tigo pesa au mpesa utamtoa mtu kweli?
Serikali hebu ingerahisisha mikopo kwa vijana tupigane kutafuta maisha.
Kuna siku nilipata wazo la kuongeza mtaji katika biashara yangu ikanibidi niende katika microfinance company moja hivi.
Baada ya kufika nikawaelezea kuwa nahitaji mkopo, ila sasa nilikuja kuchoka kwenye terms zao yani marejesho lazima yafanyike kila siku ukichukua matharani laki moja riba ni 20% kwahiyo kila siku lazima upeleke 2000.
Sasa mkopo kama huu mtu anayefanya tigo pesa au mpesa utamtoa mtu kweli?
Serikali hebu ingerahisisha mikopo kwa vijana tupigane kutafuta maisha.