Kwa mlio soma,mnao jua tuchangiane!

Gud gud

Member
Joined
Dec 1, 2011
Posts
33
Reaction score
2
Naombeni kwa anayejua au aliyesoma Uganda anisaidie jinsi ya kupata shule a level,au hata kama anaweza kunikonekti na mtu anayeweza nisaidia,NAOMBENI MSAADA HUYU KIJANA AKASOME
 
Naombeni kwa anayejua au aliyesoma Uganda anisaidie jinsi ya kupata shule a level,au hata kama anaweza kunikonekti na mtu anayeweza nisaidia,NAOMBENI MSAADA HUYU KIJANA AKASOME
Nachojua wengi waliofeli ndio huwa wanakimbilia Uganda. Kijana wako alifeli?
 
Basi mie nafungua thread nijue kuna swali gani hilo wanaloulizwa waliosoma tu, nijue kipimo cha usomi ni nini.

Kufungua naona mtu anataka ushauri kuhusu kusoma Uganda!
 
Basi mie nafungua thread nijue kuna swali gani hilo wanaloulizwa waliosoma tu, nijue kipimo cha usomi ni nini.

Kufungua naona mtu anataka ushauri kuhusu kusoma Uganda!
So umejiudhi kukuta mambo ya kusoma Ug? Ulitaka ukutane na ajira kwa walio soma? Umekurupa mkuu ni kwa walio soma,wanaofahamu##
 
Mdogo wangu wa kike anaingia form2 hukohuko..nipe tyme nije nimpeleleze kama yuko aware kidogo
 
So umejiudhi kukuta mambo ya kusoma Ug? Ulitaka ukutane na ajira kwa walio soma? Umekurupa mkuu ni kwa walio soma,wanaofahamu##

Kujiudhi ni oxymoron, and I don't do those.

Umekosa somo hapa la kujieleza vizuri na kuoanisha kichwa cha habari na habari.

Umekosa somo hapa kwamba kusoma shule Uganda na kusoma ni vitu viwili tofauti.

Unayekurupuka weye unayeongelea ajira kwa waliosoma bila kujua tofauti ya kusoma na kusoma shule Uganda.

Mpaka sasa hujaeleweka unataka mchango wa waliosoma au waliosoma shule Uganda?
 
Nataka mchango kwa matair_ walio soma shule za ma_aira kama wewe.
Yani hapo ndo umehangaika mpaka basi afu ndo umepata hizo kasoro? Usiwe ***** nina wasiwasi na uelewa wako.kibarua ulicho jipa mpaka memde wanakuonea uvivu. Si kila king'aacho ni dhahabu vingine chupa man,usije toa kamasi kwa kulazimisha hoja.UMELAZIMISHWA KUSOMA KIlA THREAD AU KUCHANGIA? Uelewa wako ni zero + pumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…