Kwa mliofanikiwa kuzamia nje naomba njia maisha bongo yamenikataa kabisaa nataka nipate hata pa kubeba mabox

Kwa mliofanikiwa kuzamia nje naomba njia maisha bongo yamenikataa kabisaa nataka nipate hata pa kubeba mabox

king online

Member
Joined
Mar 30, 2018
Posts
34
Reaction score
17
Dah bandugu n kwel mafanikio sio kwa kila mmoja ila inapofikia hadi mlo ukawa mgumu sasa hapo ni bora kufika china au popote nipate hela ya kujikim natanguliza shukran ndg zangu hebu nisaidien kwa hili mambo yanaachia kwa muda huo huo yanabana mpk sasa nikivuta pumzi nahisi maumivu kwa majanga ninayopitia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom