Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zero kabisa majengo yote yanafanana kama mabwenk yaani rangi ya vioo ndio zinafanya walau yawe Mazuri otherwise hakuna ubunifu wa michoroNawauliza wadau wa JF mliofika Mji wa Serikali Mumbai, mnatoa maksi ngapi? Jengo lipi mchoraji amefunika?
1000%Nawauliza wadau wa JF mliofika Mji wa Serikali Mumbai, mnatoa maksi ngapi? Jengo lipi mchoraji amefunika?
Picha!Nawauliza wadau wa JF mliofika Mji wa Serikali Mumbai, mnatoa maksi ngapi? Jengo lipi mchoraji amefunika?
Wote tuu mkuu!Nawauliza wadau wa JF mliofika Mji wa Serikali Mumbai, mnatoa maksi ngapi? Jengo lipi mchoraji amefunika?
Kama ni Mumbai ungeweka picha za hayo majengo la sivyo hatuwezi kuamini kama hata wewe umewahi kufika Mumbai penyeweNawauliza wadau wa JF mliofika Mji wa Serikali Mumbai, mnatoa maksi ngapi? Jengo lipi mchoraji amefunika?
upo kwenye field gani mkuu, tuone umefanya kipi cha ajabu kwenye field!Kusema majengo hayana mvuto ni kama mabox tu. Hayavutii na hayana ubunifu wowote. Ukilinganisha na New Cairo utaona sisi weusi tuna shida kubwa sana ya kufikiri. Ni kama wamejenga concrete jungles blocks za ex communist countries. Naweza kusema mji wa Mtumba ni lost opportunity ya sisi kuonesha uwezo wetu wa kupanga na kufikiri sawa sawa