The Inquisitive
Senior Member
- Oct 27, 2010
- 177
- 29
Majuzi nimesoma kidogo habari za huyu mwandishi wa vitabu. Ni mwanamke Mnyarwanda ambaye alipata mikasa mikubwa wakati wa genocide. Ameandika vitabu vitatu kuelezea maisha yake katika kipindi hicho.
Kwa mliovisoma vitabu vyake, what is your experience? Can you recommend her books?
Kwa mliovisoma vitabu vyake, what is your experience? Can you recommend her books?