Kwa mliopata Utasa ukubwani ambao hamkuzaliwa nao nini ilikua chanzo cha tatizo

Kwa mliopata Utasa ukubwani ambao hamkuzaliwa nao nini ilikua chanzo cha tatizo

Nina rafiki yangu amejaliwa watoto wawili nje ya ndoa !! Kufika kwene ndoa bila bila wakat na mke ana mtoto wa pembeni.

Tupeni ABC!Mliopata matatzo ya utasa au ugumba ukubwani tatizo lilikua nini.

Soma Pia: Tatizo la Ugumba kwa wanaume la zidi kuwa kubwa
Vyema wote wakafanyiwe vipimo kuona tatizo liko wapi ili liwese kutatuliwa,.
Na ikiwa wote hawana tatizo kwa vipimo vya kisasa, basi wapime na vipimo vya asili kuona pia shida Iko wapi kama Kuna mambo ya kiroho yanachangia basi yaweze tatuliwa
 
Vyema wote wakafanyiwe vipimo kuona tatizo liko wapi ili liwese kutatuliwa,.
Na ikiwa wote hawana tatizo kwa vipimo vya kisasa, basi wapime na vipimo vya asili kuona pia shida Iko wapi kama Kuna mambo ya kiroho yanachangia basi yaweze tatuliwa
yaan wakapige lamli
 
Back
Top Bottom