Kwa mliopata Utasa ukubwani ambao hamkuzaliwa nao nini ilikua chanzo cha tatizo

Vyema wote wakafanyiwe vipimo kuona tatizo liko wapi ili liwese kutatuliwa,.
Na ikiwa wote hawana tatizo kwa vipimo vya kisasa, basi wapime na vipimo vya asili kuona pia shida Iko wapi kama Kuna mambo ya kiroho yanachangia basi yaweze tatuliwa
 
Vyema wote wakafanyiwe vipimo kuona tatizo liko wapi ili liwese kutatuliwa,.
Na ikiwa wote hawana tatizo kwa vipimo vya kisasa, basi wapime na vipimo vya asili kuona pia shida Iko wapi kama Kuna mambo ya kiroho yanachangia basi yaweze tatuliwa
yaan wakapige lamli
 
Punyeto iliyopitiliza na magonjwa ya zinaa ni mchango mzuri katika utasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…