Habari zenu wapendwa, mimi ni kijana mwenzenu, kutokana na changamoto mbali mbali za maisha nimekuwa nikisoma kwa kuunga unga flani, na nimefanikiwa kiasi, kwan kwa sasa ninachukua degree ya bussiness administration with human resource management OPEN UNIVERSITY so please naomba kama kuna mtu mwenye material ya cozi hiyo kwa njia ya video (video tutorial) anisaidie ili niendeleze kupiga msuli, thanx
Hongera mkuu jitahidi utapata tuu material
ahsante kaka ndio naendelea kupambana
Habari zenu wapendwa, mimi ni kijana mwenzenu, kutokana na changamoto mbali mbali za maisha nimekuwa nikisoma kwa kuunga unga flani, na nimefanikiwa kiasi, kwan kwa sasa ninachukua degree ya bussiness administration with human resource management OPEN UNIVERSITY so please naomba kama kuna mtu mwenye material ya cozi hiyo kwa njia ya video (video tutorial) anisaidie ili niendeleze kupiga msuli, thanx