Kwa mnaoeitegemea heslb.

Kwa mnaoeitegemea heslb.

Perry

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
10,058
Reaction score
2,195
Kwa taarifa nilizozipokea hvi punde kutoka kwa chanzo kinachoaminika,ni kwamba loan allocations zenu zitatolewa sometime next week.over
 
watoe wasitoe watajua wao.kama vp wajikopeshe wao c wanaona wivu ku2kopesha naingekua wana2pa bure cjui ingekuaje.
 
Unataka kujua umepata mkopo asilimia ngapi? Bonyeza hapa
sasa mkuu lazima uamin unatabia mbaya sana ya UONGO!!! nimeona siku nyingi tu jinsi unavyodanganya watu humu ndani...nadhani unakumbuka vizuri maswala ya loan na ulisema j3 then j5 baada ya hapo nadhan unajua mwenyewe nini kilichotokea...sasa leo tena umekuja na ka-link(kwenye red) ambako hakaeleweki kana nini(nadhani umenielewa)!!
SASA HII NI KWA MSAADA WAKO...YAKUPASA UBADILIKE..BADILI TABIA...ACHA UONGO,NAAMINI MADHARA YAKE HUTAYAONA LEO ILA BAADAE NA NNA UHAKIKA UTAJUTA TU!!! kumbuka sitaki bishana na wewe ila nataka ubadilike...kwa manufaa yako na ujue hii ni jf na sio fb!!!
 
Kwa taarifa nilizozipokea hvi punde kutoka kwa chanzo kinachoaminika,ni kwamba loan allocations zenu zitatolewa SOMETIME NEXT WEEK.over

TCU watakuwa wametoa majina RASMI ya waliochaguliwa kujiunga na kila chuo kwenye website yao kama hao HESLB walivyotaka mpaka wakati huo?
 
Unataka kujua umepata mkopo asilimia ngapi? Bonyeza hapa

hamna mjinga mwenzio apa wote tunaakili timamu cyo kama ww una kurupupuka na kuleta vitu visivyo ingiliana na ulichoandika so tumia ftrsa yako apa kiutuuzima na kiumakini zaidi na chambua mabo kabla hujaandika apa
 
sasa mkuu lazima uamin unatabia mbaya sana ya UONGO!!! nimeona siku nyingi tu jinsi unavyodanganya watu humu ndani...nadhani unakumbuka vizuri maswala ya loan na ulisema j3 then j5 baada ya hapo nadhan unajua mwenyewe nini kilichotokea...sasa leo tena umekuja na ka-link(kwenye red) ambako hakaeleweki kana nini(nadhani umenielewa)!!
SASA HII NI KWA MSAADA WAKO...YAKUPASA UBADILIKE..BADILI TABIA...ACHA UONGO,NAAMINI MADHARA YAKE HUTAYAONA LEO ILA BAADAE NA NNA UHAKIKA UTAJUTA TU!!! kumbuka sitaki bishana na wewe ila nataka ubadilike...kwa manufaa yako na ujue hii ni jf na sio fb!!!
Halafu na yeye anajiona kakua kiakili.
 
Back
Top Bottom