Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Ko nakutumia ifoni fiftn sura mbovu[emoji16][emoji16]Duh! Ndiyo ana sura mbovu hivi!
Siku ukija mjini utamjua kaka😃Dida ni nani???
Dida ni nani ?Katika pita pita huku mtandaoni nikakutana tu na picha zake nikawa nashangaa kama vile kavaa helmet ila sio....nywele zimekutana na nyusi....
View attachment 2789072
View attachment 2789073
View attachment 2789075
Kikomwe chake kimeenda wapi sasa na kwenye harusi kilikuwepo. Anyway ana kipaji cha kuchamba watu.....
Meya wa jiji 😃Ndio nani huyo huko Daslam?
Ndio huyo sasa kwa picha hapoNamjua Dida, yule golikipa wa Brazil
weka nyama
Nii host kipind cha mashamsham pamoja na juma lokole na Idris wa kitaa.... Tano kamili mpk nane kamili mchana, jumatatu mpk ijumaaNdio nani huyo huko Daslam?
Aah basi ndio maana simjui maana nilitegemea msimu wa mavuno ya matikiti ndio nije mjini na fusoSiku ukija mjini utamjua kaka😃
Anakwambia uso km mbuzii wa shughul usojua kupodoka mjini zinakustr make up na wigs za kubond [emoji3]Siku ukija mjini utamjua kaka[emoji2]